A
Anonymous
Guest
WIZARA YA UTUMISHI WA UMMA INVYOWADHARAU WATUMISHI WA UMMA
1. Wizara ya Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa UMMA nna Utawala Bora ilitoa waraka au tuseme kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa Tanzania tarehe 28 Mei 2024
2. Wenye kichwa cha habari UPANDISHAJI WA VYEO [PROMOTION] NA
UBADILISHAJI WA KADA /MUUNDO WATUMISHI [RECATEGORIZATION] KWA MWAKA 2023/2024
3. Muongozo huo uliwataka kupandisha watumishi wote wa Umma waliotengewa bajeti [Ikama] 2023/2024
4. Muongozo huo uliwataka waajiri kuhakikisha mpaka kufika June 3 ,2024 zoezi ilo linakamilika na wizara nayo ingekamilisha kwenye mfumo wa kiutumishi na mishahara [HCMIS] June 6, 2024 maana yake ndani ya siku 29 kila kitu kikamilike na watu wapate mishahara, ukitoa siku za mapumziko maana yake ndani ya siku 19 tu kila kitu kingekamilika
5. Hapa ndio dharau za wizara ya Utumishi inapoanza kudharau watumishi wa Umma, wanajua kabisa siku hizo 30 au wakipewa siku 60 hawataweza kupandisha watumishi wote wa UMMA TANZANIA ambao wanakadiliwa zaidi ya Elfu 52 ni kuwacheza Shere tu watumishi wa UMMA
6. Baada ya Watumishi wa UMMA kupokea mishahara yao watumishi waliotegemea kupanda madaraja zaidi ya 80 Tanzania 🇹🇿 hawajapanda Madaraja, kisingizio ni Aprova ambao wapo wizara ya UTUMISHI kimsingi inaweza kuwa kweli au si kweli .
7. Serikali inajua ilikua inategemea kuwapandisha watumishi wa Umma mwezi June 2024 kwanini zoezi la kuingiza taarifa za kiutumishi zisianze mapema mwezi January ili ikifika mwezi June watumishi wapandishwe mishahara
8. Serikali imekuwa ikiwadharau watumishi wa Umma, bajeti inapitishwa Julai 2023 na utekelezaji wa Bajeti unaanza mara moja kwa kila kitu, lakini kwenye promosheni ya watumishi wa Umma inaenda mwaka unaofuata wa 2024 hizo zote ni dharau kwa watumishi wa Umma
9. Serikali inapokuwa na jambo linalohitaji utekelezaji kwa watumishi mikwara ni mingi sana kwa watumishi umeletwa mfumo wa ESS kwa watumishi Umma, watumishi wengi walioshindwa kujiunga kwa wakati wamekosa mishahara huu sasa mwezi wa tatu na wengine ni wanne
Watumishi wa Umma, wameamua kupaza sauti zetu, tunaomba kilio cha wa watumishi wa Umma kifike IKULU kwa Mama, wamechoka kudharauliwa mwezi huu kuna watumishi wa Umma wamepata Promosheni kuna wengine hawajapata je kunawezaje kuwa na usawa kwa watumishi hao wa Umma ukizingatia wote walitakiwa kupanda ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 ambao unaisha ndani ya Mwezi huu .
Maana yake watumishi wengine wa Umma wanaenda kupanda mwaka mwaka 2024/2025 kuminya haki kwa watumishi wa Umma, tunaomba Jamii Forums muwasiliane na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma na Waziri wake watoke mbele za Umma wawaeleze watumishi wa Tanzania kwanini watumishi wa Umma karibia 80% hawajapandishwa kwa wakati
1. Wizara ya Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa UMMA nna Utawala Bora ilitoa waraka au tuseme kibali cha upandishaji madaraja kwa watumishi wa Tanzania tarehe 28 Mei 2024
2. Wenye kichwa cha habari UPANDISHAJI WA VYEO [PROMOTION] NA
UBADILISHAJI WA KADA /MUUNDO WATUMISHI [RECATEGORIZATION] KWA MWAKA 2023/2024
3. Muongozo huo uliwataka kupandisha watumishi wote wa Umma waliotengewa bajeti [Ikama] 2023/2024
4. Muongozo huo uliwataka waajiri kuhakikisha mpaka kufika June 3 ,2024 zoezi ilo linakamilika na wizara nayo ingekamilisha kwenye mfumo wa kiutumishi na mishahara [HCMIS] June 6, 2024 maana yake ndani ya siku 29 kila kitu kikamilike na watu wapate mishahara, ukitoa siku za mapumziko maana yake ndani ya siku 19 tu kila kitu kingekamilika
5. Hapa ndio dharau za wizara ya Utumishi inapoanza kudharau watumishi wa Umma, wanajua kabisa siku hizo 30 au wakipewa siku 60 hawataweza kupandisha watumishi wote wa UMMA TANZANIA ambao wanakadiliwa zaidi ya Elfu 52 ni kuwacheza Shere tu watumishi wa UMMA
6. Baada ya Watumishi wa UMMA kupokea mishahara yao watumishi waliotegemea kupanda madaraja zaidi ya 80 Tanzania 🇹🇿 hawajapanda Madaraja, kisingizio ni Aprova ambao wapo wizara ya UTUMISHI kimsingi inaweza kuwa kweli au si kweli .
7. Serikali inajua ilikua inategemea kuwapandisha watumishi wa Umma mwezi June 2024 kwanini zoezi la kuingiza taarifa za kiutumishi zisianze mapema mwezi January ili ikifika mwezi June watumishi wapandishwe mishahara
8. Serikali imekuwa ikiwadharau watumishi wa Umma, bajeti inapitishwa Julai 2023 na utekelezaji wa Bajeti unaanza mara moja kwa kila kitu, lakini kwenye promosheni ya watumishi wa Umma inaenda mwaka unaofuata wa 2024 hizo zote ni dharau kwa watumishi wa Umma
9. Serikali inapokuwa na jambo linalohitaji utekelezaji kwa watumishi mikwara ni mingi sana kwa watumishi umeletwa mfumo wa ESS kwa watumishi Umma, watumishi wengi walioshindwa kujiunga kwa wakati wamekosa mishahara huu sasa mwezi wa tatu na wengine ni wanne
Watumishi wa Umma, wameamua kupaza sauti zetu, tunaomba kilio cha wa watumishi wa Umma kifike IKULU kwa Mama, wamechoka kudharauliwa mwezi huu kuna watumishi wa Umma wamepata Promosheni kuna wengine hawajapata je kunawezaje kuwa na usawa kwa watumishi hao wa Umma ukizingatia wote walitakiwa kupanda ndani ya mwaka wa fedha 2023/2024 ambao unaisha ndani ya Mwezi huu .
Maana yake watumishi wengine wa Umma wanaenda kupanda mwaka mwaka 2024/2025 kuminya haki kwa watumishi wa Umma, tunaomba Jamii Forums muwasiliane na Katibu Mkuu Utumishi wa Umma na Waziri wake watoke mbele za Umma wawaeleze watumishi wa Tanzania kwanini watumishi wa Umma karibia 80% hawajapandishwa kwa wakati