Watumishi wanafiki wanaoshangilia tukio la Moshi ni wivu na si mengineyo

Watumishi wanafiki wanaoshangilia tukio la Moshi ni wivu na si mengineyo

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,006
Nasoma page mbalimbali unaona watumishi wa kiroho na wengine wachache wakifurahia tukio la Moshi. Mbaya wengi wanalilia pesa za sadaka zinazokusanywa na Mwamposa. Niwaambie tu haya yote ni unafiki hakuna Makanisa yasiyotoza watu sadaka wala zaka na mkae kimya msiaibike

Wengine mnaruhusu hata vimini makanisan mkiogopa watoto wa wazee wa kanisa wakikasirika zile sadaka amtazipata tena. Mwenzenu anapopitia mapito wakati wa kumuombea hata hili nalo litapita tu. Shikaneni mkiombeana nasio kuoneana wivu wa wingi wa watu

Hizo kelele za mafuta hata nanyi mngeweza kuuza ama. Maji mngeweza kuuza. Ombeaneni kila siku kama kanisa lako alijai ama alitoi virutubisho muhimu vya sadaka za kutosha muda muafaka kufunga waumini wabarikiwe. Kinachofanya wajazane kwa Mwamposa zile imani zao na hizo maji na mafuta wanapona na wanatoka kiuchumi

Tofauti ya kwenu muumini anasali miaka kumi bado anaomba Mungu ampe kazi. Mapenzi ya Mungu ni kuishi maisha mazuri sio hayo mafundisho mnayotufundisha tukifa masikini unakufa kwa bwana watu wameshtuka wanataka maisha mazuri uponyaji na sio kupokelewa sadaka tu

Regards
Basiasi
 
Pumbufu, yaani watu wamepoteza maisha na Ndugu wamepotelewa na wapendwa wao halafu unasema anaonewa wivu?
Mpuuzi wewe utakuwa unasali kwa huyo tapeli, nani amuombee?

Kwanini hakuomba aonyeshwe kama kutatokea maafa asitishe zoezi lake? Sisi wengine sio watukanaji halafu mnatufanya tutukane,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasoma page mbalimbali unaona watumishi wa kiroho na wengine wachache wakifurahia tukio la Moshi. Mbaya wengi wanalilia pesa za sadaka zinazokusanywa na Mwamposa. Niwaambie tu haya yote. Unafiki hakuna makanisa yasiyotoza watu sadaka wala zaka na mkae kimya msiaibike

Wengine mnaruhusu hata vimini makanisan mkiogopa watoto wa wazee wa kanisa wakikasirika zile sadaka amtazipata tena. Mwenzenu anapopitia mapito wakati wa kumuombea hata hili nalo litapita tu. Shikaneni mkiombeana nasio kuoneana wivu wa wingi wa watu

Hizo kelele za mafuta hata nanyi mngeweza kuuza ama. Maji mngeweza kuuza. Ombeaneni kila siku kama kanisa lako alijai ama alitoi virutubisho muhimu vya sadaka za kutosha muda muafaka kufunga waumini wabarikiwe. Kinachofanya wajazane kwa Mwamposa zile imani zao na hizo maji na mafuta wanapona na wanatoka kiuchumi

Tofauti ya kwenu muumini anasali miaka kumi bado anaomba Mungu ampe kazi. Mapenzi ya Mungu ni kuishi maisha mazuri sio hayo mafundisho mnayotufundisha tukifa masikini unakufa kwa bwana watu wameshtuka wanataka maisha mazuri uponyaji na sio kupokelewa sadaka tu

Regards
Basiasi
Hivi kumbe wewe unamuona Mwamposa ni mtumishi wa Mungu?
 
Nasoma page mbalimbali unaona watumishi wa kiroho na wengine wachache wakifurahia tukio la Moshi. Mbaya wengi wanalilia pesa za sadaka zinazokusanywa na Mwamposa. Niwaambie tu haya yote. Unafiki hakuna makanisa yasiyotoza watu sadaka wala zaka na mkae kimya msiaibike

Wengine mnaruhusu hata vimini makanisan mkiogopa watoto wa wazee wa kanisa wakikasirika zile sadaka amtazipata tena. Mwenzenu anapopitia mapito wakati wa kumuombea hata hili nalo litapita tu. Shikaneni mkiombeana nasio kuoneana wivu wa wingi wa watu

Hizo kelele za mafuta hata nanyi mngeweza kuuza ama. Maji mngeweza kuuza. Ombeaneni kila siku kama kanisa lako alijai ama alitoi virutubisho muhimu vya sadaka za kutosha muda muafaka kufunga waumini wabarikiwe. Kinachofanya wajazane kwa Mwamposa zile imani zao na hizo maji na mafuta wanapona na wanatoka kiuchumi

Tofauti ya kwenu muumini anasali miaka kumi bado anaomba Mungu ampe kazi. Mapenzi ya Mungu ni kuishi maisha mazuri sio hayo mafundisho mnayotufundisha tukifa masikini unakufa kwa bwana watu wameshtuka wanataka maisha mazuri uponyaji na sio kupokelewa sadaka tu

Regards
Basiasi
Acha ujinga ww nenda kabeti unafikiria watu 20 ni wa chache
 
IMG-20200203-WA0012.jpg
 
Kwakweli kenge hasikii kipigo mpaka atokwe damu masikioni. Haya endeleeni.
 
Back
Top Bottom