watumishi wanaobadilishana vituo mmoja akikwama inakuwaje?

watumishi wanaobadilishana vituo mmoja akikwama inakuwaje?

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Ndugu wanajamvi. Napenda kujulishwa endapo watumishi wawili wamekubaliana kubadilishana vituo vya kazi kutoka mkoa 1 kwenda mwingine. Barua zao zikaenda kunakohusika lakini ikabainika mtumishi 1 ndiye aliyekidhi viwango vya kuhama na mwingine hajakidhi. Hapo inakuwaje. Je yule aliyekidhi viwango atahamishwa? Naomba majibu.
 
Back
Top Bottom