A
Anonymous
Guest
Sisi Watumishi wapya wa Sekta ya Afya katika Halmashauri ya Jiji - Dar es Salaam tunafanya kazi katika mazingira magumu mno.
Tangu tuajiriwe mwanzoni mwa mwezi Novemba 2024, kuna baadhi yetu wamelipwa mshahara wa mwezi November na kuna wengine ambao ni wengine hatukulipwa mshahara wa mwezi huo.
Baada ya kuona wahusika wako kimya na hela hatulipwi tuliamua kwenda kwào kupata mrejesho lakini tuliambiwa sisi ambayo hatukulipwa tulikuwa bado hatujawa approved kwenye mfumo na ndo maana hatukulipwa.
Nimejiuliza sana kwanini pesa inatoka kimafungu na kwanini watu wasifanye hiyo approval ili tupewe haki zetu?
Ni dhahiri kuwa inaonekana kuna uzembe hapo na Serikali inapaswa kufatilia hawa wahusika ikiwezekana wawajibishwe, maana watumishi wenyewe tupo 161 kama sikosei katika Halmashauri ya jiji nzima.
Ukiachana na mshahara pia hata pesa za kujikimu mpaka sasa watu hawajapewa.
Kwa hiyo unakuta mtu hana pesa za kujikimu na Dar hana ndugu, je huyu mtu anaishi katika mazingira gan na anafanyaje kazi?
Tunaomba serikali itusaidie kuhusu hili suala tafadhali kwani uzembe wa baadhi ya watu unafanya watu wengine waishi kwa shida.
Tangu tuajiriwe mwanzoni mwa mwezi Novemba 2024, kuna baadhi yetu wamelipwa mshahara wa mwezi November na kuna wengine ambao ni wengine hatukulipwa mshahara wa mwezi huo.
Baada ya kuona wahusika wako kimya na hela hatulipwi tuliamua kwenda kwào kupata mrejesho lakini tuliambiwa sisi ambayo hatukulipwa tulikuwa bado hatujawa approved kwenye mfumo na ndo maana hatukulipwa.
Nimejiuliza sana kwanini pesa inatoka kimafungu na kwanini watu wasifanye hiyo approval ili tupewe haki zetu?
Ni dhahiri kuwa inaonekana kuna uzembe hapo na Serikali inapaswa kufatilia hawa wahusika ikiwezekana wawajibishwe, maana watumishi wenyewe tupo 161 kama sikosei katika Halmashauri ya jiji nzima.
Ukiachana na mshahara pia hata pesa za kujikimu mpaka sasa watu hawajapewa.
Kwa hiyo unakuta mtu hana pesa za kujikimu na Dar hana ndugu, je huyu mtu anaishi katika mazingira gan na anafanyaje kazi?
Tunaomba serikali itusaidie kuhusu hili suala tafadhali kwani uzembe wa baadhi ya watu unafanya watu wengine waishi kwa shida.