The wave
JF-Expert Member
- Feb 27, 2021
- 283
- 318
Wapendwa nisalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Hapa Magu tumesumbuliwa sana na makatibu wa afya, tumejaza OPRAS mara mbilimbili, tukaombwa barua za ajira, za kuthibitishwa kazini na za kupanda madaraja kwa Mara ya mwisho.
Vyote hivyo tuliwakabidhi, mwezi huu umepita patupu kwa wengi wetu kada ya afya.
Ngoja tuvumilie hadi mwezi unaofuata yaani July. Ukipita patupu kuanzia afisa utumishi hadi makatibu wa afya mjiandae kuachia ngazi kwa uzembe wenu.
Tutapeleka malalamiko kwa katibu mkuu TAMISEMI.
Hapa Magu tumesumbuliwa sana na makatibu wa afya, tumejaza OPRAS mara mbilimbili, tukaombwa barua za ajira, za kuthibitishwa kazini na za kupanda madaraja kwa Mara ya mwisho.
Vyote hivyo tuliwakabidhi, mwezi huu umepita patupu kwa wengi wetu kada ya afya.
Ngoja tuvumilie hadi mwezi unaofuata yaani July. Ukipita patupu kuanzia afisa utumishi hadi makatibu wa afya mjiandae kuachia ngazi kwa uzembe wenu.
Tutapeleka malalamiko kwa katibu mkuu TAMISEMI.