Urusi huo ubavu wa kupeleka majeshi Ghaza anautoa wapi wakat anahenyeshwa na UkraineSub hanna llah
Endelea kujifariji!!! Mahandaki yanatiwa maji chumvi na pilipili!!! Ni kuteketeza mpaka mende walionenepa kwa vinyesi vya MagaidiKimbembe kinanukia huko Ghaza.
Ni unafik wa Waturuki na Urusi kutuma majeshi ya Ghaza au walikuwa wanagoja "timing" ya kidiplomasia kabla hawajafanya "move" yao.
Wayahudi na Wamarekani mavi debe, Jionee;
View: https://youtu.be/lVwK-lXMvDg?si=s71lmoSKbZwiuhk9
Video moja ni ya kutengenezwa.Hamasi wamemuona ana shinda vita wanajidai watutuma majeshi.
America kakiri kuna wanajeshi wake 500 wamekamatwa na General wako kauliwa.
Hamasi hana shida na mtu hataki msada wa mtu, Israel time yake hi afahamu wazi si America, Europe au Wanafiki viongozi wa kiarabu wanauwezo wa kumsaidia
Bibi you know nothing about battlefieldKimbembe kinanukia huko Ghaza.
Ni unafiki wa Waturuki na Urusi kutuma majeshi ya Ghaza au walikuwa wanagoja "timing" ya kidiplomasia kabla hawajafanya "move" yao.
Wayahudi na Wamarekani mavi debe, Jionee;
View: https://youtu.be/lVwK-lXMvDg?si=s71lmoSKbZwiuhk9
Kujitekenya na kucheka plus ndoto za alinacha 🤣 🤣Kimbembe kinanukia huko Ghaza.
Ni unafiki wa Waturuki na Urusi kutuma majeshi ya Ghaza au walikuwa wanagoja "timing" ya kidiplomasia kabla hawajafanya "move" yao.
Wayahudi na Wamarekani mavi debe, Jionee;
View: https://youtu.be/lVwK-lXMvDg?si=s71lmoSKbZwiuhk9
Kwa kuongea tu mmejaliwa nenden front sasa muone mnavyojiharishiaWakati huohuo Wairan nao wafanya yao.
Anga juu ya Mashariki ya Kati zimechukua mwelekeo mpya na usio na utulivu. Katika mabadiliko ya msingi, Iran imezindua ndege zisizo na rubani zinazoendeshwa na AI, na kuzibadilisha kuwa mifumo ya silaha zenye uwezo usio na kifani. Magari haya ya angani yasiyo na rubani sasa hufanya kazi na kiwango cha uhuru ambacho kinawaweka mbali na kitu chochote kilichoonekana hapo awali, kufanya kazi bila kuhusika moja kwa moja na binadamu na kuheshimika kupitia Mashariki ya Kati kama boom ya sonic.
Iran, taifa ambalo kwa muda mrefu linajulikana kwa maendeleo yake ya kijeshi, limezindua ndege zake za kisasa zisizo na rubani zinazotumia AI.
Hii sio hatua ya kawaida; inawakilisha mabadiliko ya quantum, kuinua kope na kulazimisha Israeli na ulimwengu kukabiliana na dhana mpya ya vita.Wakati dunia ikikabiliwa na athari za akili bandia (AI) katika matumizi ya kijeshi, tangazo la Iran linasimama kama ukumbusho wa wazi kwamba tunaumiza kuelekea zama ambapo AI na kijeshi zinaweza tena kufungwa kwa uwongo wa sayansi. Kufunuliwa kwa ndege hizi za AI sio ufunuo tu;
Ni tukio la seismic kutuma mshtuko katika mistari ya makosa ya kijiografia ya mkoa.Maendeleo haya mapya katika vita sio tu maendeleo ya kiteknolojia, inatoa mtazamo juu ya siku zijazo za vita ambapo mashine hufanya maamuzi muhimu na ushiriki wa binadamu unachukua kiti cha nyuma.
Matokeo ya maendeleo haya ni mbali kufikia, na dunia ni kuangalia kwa wasiwasi mkubwa kama sura hii mpya katika vita inajitokeza. ▬▬▬▬▬▬▬▬▬✅MSAADA WA MAREKANI / VIUNGO VYA USHIRIKATumia kiungo hiki cha ushirika kwa ununuzi wako kwenye
View: https://youtu.be/bnsdoOgc_Zk?si=k-vT1IgCTr_tNQcD
Sasa mashoga wamechukua nchi yenu huoni nyie ndio mlegezo kabisaWanajiharishia mazayuni huko, au hujaona picha zao wanavaa pampers mashoga wale?
Vijana wanapeleka moto tu:
View attachment 2842075