Waturuki na Urusi wapeleka majeshi ya Gaza

Sema wewe mwanamke una matatizo kama umeona kabisa hizo taarifa ni za kweli.
Pana stage flan ya maisha ali iruka sasa anajaribu kuipitia katika umri huu wa utu uzima akiwa na wajukuu tayari.
 
Natamani wote tukapigane huko kila mtu na wake
 
Sometimes MTU mjinga utamjua Tu hata Kwa mada zake.
Uturuki na Russia wapeke jeshi eneo dogo la Gaza Kwaajili ya kufanya nini?
Sema wewe mwanamke una matatizo kama umeona kabisa hizo taarifa ni za kweli.
Nimecheka sanaaaa na hii mada ya huyu mjinga yaani eneo la Gaza wapelekwe wanajeshi kutoka Iran,uturuki na Russia Kwa kipi hasa? Kuna wajinga nchi hii aisee Hadi huruma.
Ushabiki wa kijinga kama huu unaonesha jinsi gani elimu yetu ni ya chini sana
 
Ni translator umetumia au ni lugha ngumu kwangu kuielewa.
 
Ona Arab -league inapambana na kanchi kadogo sana na bado wameshindwa!
 
ila bibi huwa nakukubali kwenye muandiko wa kidume, yaani lazima una madini mengi sana ya testorones, sio rahisi kumkuta mwanamke anaandika kwa ubabe wote huu......
Sema tu uliangukia upande wa hovyo, hao waarabu na dini yao hawapendi kuona mwanamke mwenye uwezo wa kutumia ubongo, unapaswa ufungiwe ndani muda wote.
 
Sasa kama Iran Wana uwezo wote huo mbona hawalipiza kisasi kutungiliwa Kwa generali wao souleiman, tunataka action
 
Sasa kama Iran Wana uwezo wote huo mbona hawalipiza kisasa kutungiliwa Kwa generali wao souleiman, tunataka action
Ulikuwa wapi?

Siku ile ile waLiipiga kambi ya wamarekani na kuwauwa kibao na hawajamalizana nao bado.

Unafikri watu wanaenda kichwa kichwa?
 
Uturuki na Russia wapeke jeshi eneo dogo la Gaza Kwaajili ya kufanya nini?
Hamna kitu km hiyo,huyo bibi anaongea tu akilowa.
Huyo waziri mkuu Uturuki katika speech yake juzi tu hapo akijibu swali kaishia kutoa michozi tu.
Maana si kwa kipondo kinachotolewa kule Gaza.
Musik ndo kabisa hatii mguu kule anamjua ziraili,
Iran mwenyewe kanyuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…