Waturuki wa SGR Lot I

Waturuki wa SGR Lot I

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
Kwa sasa Dunia nzima ina Simanzi kufuatia Tetemeko la Ardhi lililotokea Uturuki na kupoteza watu zaidi ya 35,000 hadi sasa.

Baada ya janga hili ajenda kubwa imekuwa ni Ubora wa kazi za kihandisi zinazofanywa na Waturuki.

Hapo ndipo nikakumbuka kwamba mradi wetu wa SGR Unajengwa na kampuni ya Yapi merkezi ambao ni waturuki.

Kwa uadilifu wao wa kutiliwa shaka ukijumlisha na Mainjinia wetu wanavyopenda 10% kweli huu mradi wetu utakidhi viwango?

Au ndio utaishia kumeguka kama matope muda mfupi baada ya kukabidhiwa
Ama kweli Wahenga hawakukosea ACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA.

Hili tukio limefanya tuone Uturuki ni Underdog katika sekta nyingi sana na Bidhaa zao ni za kutiliwa shaka kubwa sana.

Tuchukue tahadhari sana maaana uwingi wa Bidhaa za Uturuki Sokoni ni ishara kwamba Waturuki na Wabongo tunapishana Rangi ya Ngozi tu lkn kwenye janja janja ngoma ni droo.

Mungu tuvushe salama maaana huenda hili wasiagizwe kulitizama.
 
Hivi nyinyi wengine huwa mnatumia viungo gani kufikiri?

Watu wamepata majanga, wewe unakuja kuwananga eti wameonekana ni underdog. Unajua ukubwa wa tetemeko lililopiga Uturuki?

Unajua nguvu ya 7.8 magnitude earthquake?

Kawaulize ndugu zako wa Kagera. Kale kalikopiga pale sidhani kama kalifika 5.0 magnitude!
 
Hivi nyinyi wengine huwa mnatumia viungo gani kufikiri?

Watu wamepata majanga, wewe unakuja kuwananga eti wameonekana ni underdog. Unajua ukubwa wa tetemeko lililopiga Uturuki?
Unajua nguvu ya 7.8 magnitude earthquake?

Kawaulize ndugu zako wa Kagera. Kale kalikopiga pale sidhani kama kalifika 5.0 magnitude!
The Smart Ghost at his best reply. Kwa Sayansi ya leo Madhara ya matetemeko yanazuilika kwa Teknolojia za Kihandisi nenda JAPAN nk ujajionee. Wangekuwa na akili pindi tetemeko lilipita likaua watu 19,000 Wangechukua hatua za udhibiti wa madhara, badala yake ndipo wakaruhusu ujenzi holela pasipokuzingatia kanuni za Kihandisi. Leo wamekufa unataka tusiongee. Shiit
Unadhani wao ni wajinga mpaka sasa wanakamata Makampuni, Maafisa Mipango Miji na Wahandisi wao?
Usizuie wengine kufikiria nje ya Box pale wewe unapolemewa na UTI kwenye bakuli lako unaloita kichwa.
 
Mama kanyaga twende tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Hawa wanatapatapa tu.
 
Hivi nyinyi wengine huwa mnatumia viungo gani kufikiri?

Watu wamepata majanga, wewe unakuja kuwananga eti wameonekana ni underdog. Unajua ukubwa wa tetemeko lililopiga Uturuki?
Unajua nguvu ya 7.8 magnitude earthquake?

Kawaulize ndugu zako wa Kagera. Kale kalikopiga pale sidhani kama kalifika 5.0 magnitude!
Maombolezo yanaendelea but haimanishi kwamba watu wasihoji, mleta mada ana hoja ya msingi sana kama huna majibu subiri wengine waje.
 
Halafu wakishanunua wanakwenda kuwapiga mtungo eti! Waturuki ni mbuzz kabisa. Bora hata tungewapa hiyo kandarasi Wachina wa ccm.
Waturuki wataaacha Watoto wengi mnooo kuzidi Wachina waliojenga Dimba la Benjmin Mkapa pale TMK
 
Kwa sasa Dunia nzima ina Simanzi kufuatia Tetemeko la Ardhi lililotokea Uturuki na kupoteza watu zaidi ya 35,000 hadi sasa.
Baada ya janga hili ajenda kubwa imekuwa ni Ubora wa kazi za kihandisi zinazofanywa na Waturuki. Hapo ndipo nikakumbuka kwamba mradi wetu wa SGR Unajengwa na kampuni ya Yapi merkezi ambao ni waturuki. Kwa uadilifu wao wa kutiliwa shaka ukijumlisha na Mainjinia wetu wanavyopenda 10% kweli huu mradi wetu utakidhi viwango?? Au ndio utaishia kumeguka kama matope muda mfupi baada ya kukabidhiwa
Ama kweli Wahenga hawakukosea ACHA INYESHE TUONE PANAPOVUJA.
Hili tukio limefanya tuone Uturuki ni Underdog katika sekta nyingi sana na Bidhaa zao ni za kutiliwa shaka kubwa sana. Tuchukue tahadhari sana maaana uwingi wa Bidhaa za Uturuki Sokoni ni ishara kwamba Waturuki na Wabongo tunapishana Rangi ya Ngozi tu lkn kwenye janja janja ngoma ni droo.
Mungu tuvushe salama maaana huenda hili wasiagizwe kulitizama.
Kama waturuki na WaTz tupo sawa, mbona sisi hatuendi kujenga kwao?
Ni kweli wana janja janja Ila lililowakumba ni baa la asili!
 
Hivi nyinyi wengine huwa mnatumia viungo gani kufikiri?

Watu wamepata majanga, wewe unakuja kuwananga eti wameonekana ni underdog. Unajua ukubwa wa tetemeko lililopiga Uturuki?
Unajua nguvu ya 7.8 magnitude earthquake?

Kawaulize ndugu zako wa Kagera. Kale kalikopiga pale sidhani kama kalifika 5.0 magnitude!
hii extrapolation siyo ya mchezo
 
Hivi nyinyi wengine huwa mnatumia viungo gani kufikiri?

Watu wamepata majanga, wewe unakuja kuwananga eti wameonekana ni underdog. Unajua ukubwa wa tetemeko lililopiga Uturuki?
Unajua nguvu ya 7.8 magnitude earthquake?

Kawaulize ndugu zako wa Kagera. Kale kalikopiga pale sidhani kama kalifika 5.0 mag

hii extrapolation siyo ya mchezo
sina hakika hata kama reli yenyewe kishaiona. akumbuke tetemeko lililopiga japan, fukushima ilimelt
 
Back
Top Bottom