JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Baada ya mchezaji mpira bwana Samatta ku posti twitter akizindua kampeni ya CocaCola akiwa kiwandani hapo, mashabiki kupitia ukurasa wake wa Twitter wamemshambulia kuhusu kiwango chake kwa kutotumia vema gharama zilizogharamiwa na timu yake na kutishia kumnyonga staa huyo.
Hapa ni moja ya video ikionyesha chupa ya CocaCola yenye jina la Samatta ikinyongwa.
Hapa ni moja ya video ikionyesha chupa ya CocaCola yenye jina la Samatta ikinyongwa.