Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Bei ya mahindi Dar,arusha iko juu.
karatu wanakufa njaa halafu wewe unaenda kuuza mahindi kenya.wewe sio mzalendo!safi sana polisi wa tarakea.
mkuu hapa 2nazungumzia fursa, na tuliambiwa tuchangamkie, jibu hoja ni amri au sheria? Kwani mkulima anatakiwa kuuza mazao yake wapi,dsm na arusha?