Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Bongolander,
Babangida alisema wapi hayo maneno? Mimi nilidhani ni rahisi kuongoza watu walio submissive kuliko say Thailand, Ukraine, South Korea au Greece?
Na yule dereva aliyetuhumiwa kuhusika na ajali ya gari la mbunge na Naibu Waziri kule iringa yuko wapi?