Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wauguzi katika Hospitali ya Wazazi Mwembeladu Zanzibar wamesimamishwa kazi kwa muda wa wiki mbili ili kupisha uchunguzi kufuatia mama kujifungulia mtoto chooni baada ya kupata uchungu akiwa hospitalini hapo kwaajili ya kujifungua.
Hata hivyo inadaiwa kuwa akiwa hospitalini hapo wauguzi wa zamu walimtolea maneno ambayo hayakuwa rafiki wala faraja wakati akiugua uchungu na hata alipojifungua walimtaka mama huyo asafishe pale alipojifungulia mtoto wake.
Je, unafikiri nini kifanyike ili kuondoa manyanyaso kwa wajawazito wanapokwenda kujifungua katika vituo vya afya?
Hivi kwanini michezo na tabia chafu zinaendelea kujitokeza kwa baadhi ya wauguzi katika hospitali au tuseme sheria ni nyepesi?
Soma Pia:
Maana inatisha matukio kama kuendelea kutokea kila kukicha kutoka kwa wauguzi
Hata hivyo inadaiwa kuwa akiwa hospitalini hapo wauguzi wa zamu walimtolea maneno ambayo hayakuwa rafiki wala faraja wakati akiugua uchungu na hata alipojifungua walimtaka mama huyo asafishe pale alipojifungulia mtoto wake.
Je, unafikiri nini kifanyike ili kuondoa manyanyaso kwa wajawazito wanapokwenda kujifungua katika vituo vya afya?
Hivi kwanini michezo na tabia chafu zinaendelea kujitokeza kwa baadhi ya wauguzi katika hospitali au tuseme sheria ni nyepesi?
Soma Pia:
Maana inatisha matukio kama kuendelea kutokea kila kukicha kutoka kwa wauguzi