Waungwana chonde nawaombeni msaada!

PENDING'ULA

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
268
Reaction score
46
Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?
 
Mimi ni mjasiriamali mdogo najishughulisha na ufugaji wa kuku. Je kuna mtaalamu anayeweza kunisaidia Tiba za dawa za asili au tiba mbadala kama kiswahili cha sasa kinavyosema kwa ajili ya kuku?

Ingia hapa
https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/95339-mradi-wa-kufuga-kuku-wa-kienyeji-6.html#post3273963
 
Asante kwa kujaribu kunisaidia lakini Nimejaribu ku-access siipati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…