Waungwana ivi Udom wanatoa PhD??

Waungwana ivi Udom wanatoa PhD??

sir mushi

Senior Member
Joined
May 26, 2013
Posts
143
Reaction score
52
sina maana mbaya, labda kwa ujinga wangu nataka kujulishwa tuu kwamba chuo kikuu dodoma wanatoa PhD? nifahamisheni waungwana...
 
Wanatoa ndio, labda nikusaidie udom wana website yaana www.udom.ac.tz unapouliza kitu fanya utafiti kwanza utaonekana mjinga bure.
 
Fany uchunguz kwnz, coz si kila ktu uulze! Au huna cfa ya GT? (GREAT THINKER)
 
Ukisikia university maana yake wanatoa mpk uprofesor nenda kagoogle utofauti wa collage na university kwa uelewa zaidi,kiroho safi tu lakini.
 
unaelewa nini unapozungumzia PhD? HII NI FULL FLEDGED UNIVERSITY SASA NI KWANINI WASITOE MJOMBA?
 
Back
Top Bottom