Waungwana naombeni mnisaidie ninataka kufungua kiwanda cha kati

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Waungwana naombeni mnisaidie ninataka kufungua kiwanda cha kati je natakiwa kusajiri wapi na wapi ? Sijapata information za kutosha juu ya usajiri na gharama zake anaefahamu tafadhali.
 
Waungwana naombeni mnisaidie ninataka kufungua kiwanda cha kati je natakiwa kusajiri wapi na wapi ? Sijapata information za kutosha juu ya usajiri na gharama zake anaefahamu tafadhali.
Kiwanda cha kati ndo kinategeneza nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…