Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombeni kujuzwa maana halisi ya msukule.... Au kitu au mtu aitwe msukule inabidi aonekanaje au au awe na matendo yepi.....ni hilo tu
kwa kidhungu ZOMBIE
Wewe mkuu usipate shida nenda kalale makaburini tu utaona tofauti ya msukule na binadamu.
Kwa kikwetu ni MWIGULU.
Ukitaka kujua tabia za msukule
mtazame Nape. Alikuwa kiongozi kwenye UVCCM. Kule akatofautiana na
Lowasa kwa kumwita ni fisadi. Alimwudhi Kikwete kwa kumpigia kampeni
Baba yake (Prof. Mwandosya). Yeye Nape, akagangamala akisema hatasalimu
amri, atagombea na cheo cha juu kabisa cha UVCCM. Kikwete na Lowasa
wakaamua kummwua Nape (kisiasa). Baadaye wakamrudisha akiwa msukule.
Tangu aliporudishwa hakumbuki chochote katika vile alivyokuwa
akipigania. Leo anazunguka nchi nzima akimsifia Kikwete na
Lowasa.
Msukule ni binadamu aliye zaniwa kufa kumbe anaishi katika ulimwengu wa kichawi. Anakuwa ndiye kiumbo ila akili zake zinakuwa zimelengwa kutambua yale anayo amliwa na mabwana zake tu. Hajui ndugu zake wala hajitambui yeye mwenyewe ni nani na anatoka wapi. Mtu ambae hajawahi kufa na kuzikwa huwezi kumuita msukule, ni tusi.
Wala asipate shida yakwenda makaburini aende pale lumumba atawakuta vijana wengi natsht zao za kijani zenye maandishi chagua kikwete na maisha bora kwa kila mtanzania.
Hawa jamaa hawawezi kuibadilisha hii katika kwa sababu ina maslahi na wao. kweli raisi anaweza kukubali kubadilishwa katiba wakati inampa ulaji?
Naombeni kujuzwa maana halisi ya MSUKULE.... Au kitu au ili mtu aitwe MSUKULE inabidi aonekanaje au au awe na matendo yepi.....ni hilo tu