Nipo mkoani hapa lushanga. Nakupa laki chap kwa harakaKaribu ndugu tufanye biashara ninashida
[emoji23][emoji23] Mtoa uzi jiongezee wateja wanataka waone picha ya hiyo simuMbona imepasuka kioo?!!
🤣🤣🤣Simu nzuri sana picha inavutia
Sawa ila tengeneza basi ndo uuzeWaungwana najua shida kill mmoja wetu humpata nakuamua kuuza kilicho chake hatakama anakipenda kiasi gani ili kimsaidie hivyo na mimi msaada wa kutatua tatizo langu nimeamua kuuza simu yangu pendwa kwa bei ya kutupa mwenyekuhitaji anitafute tuyajenge simu ni nzuri haina itirafu yoyote hata kidogo ningeweka picha lakini sina simu ya kuchukulia picha lakini mwenyekutaka tutawasiliana nimtumie picha, mie nipo geita
Nope mda mkuu nipate simu nipige pichaSawa ila tengeneza basi ndo uuzeView attachment 2352432
Hii simu ndio inauzwa laki nne hahahahahaSawa ila tengeneza basi ndo uuzeView attachment 2352432