Jamani mimi si utani nikiangalia sana chama cha CUF nashindwa kuelewa
1. Hivi kulikuwa na haja gani kwa Sherrif kugombea tena ZNZ, hivi kwanini wasingebadili wagombea, kuna vichwa vingi tu ambavyo vingeleta mabadiriko, ndo maana hata Pemba kura hazikuwa nyingi, watu wanataka mabadiriko. Kuna jamaa yule alikuwa kiongozi wa upinzania bungeni Hamad Rashid angesaidia sana
2. Bara - Lipumba almegombea kwanini? Rais angekuwa mwingine hata Juma Haji Duni au mwingine
Kwa mtazamo wangu kukubali kiraihisi kwa Seif ni uroho tu wa madaraka, alitaka sana kuwa rais wa Zanzibar bila kuangalia kingine chochote..:A S angry: wamenisikitisha sana
Ni mtazamo wangu mimi