Waungwana wamvaa Joyce Kiria

Huyu Joyce kiria hata ningepewa bure siwezi kubeba takataka ya jinsi hiyo!Nilijua haya yanaweza kutokea kutokana na maneno ya yule mama linapofika suala la kuwasuta wanaume huwa anaongea kwa hisia na kuonesha ana nyongo kali kifuani.
 
Mwandishi wa huu waraka amezungumza vitu muhimu sana na vya msaada mkubwa kwa wanawake walio kwenye ndoa. Kwa wale wanaojiandaa kuingia kwenye ndoa, hii ni ellimu ya bure.;jichoteeni.

Vv
 
aise wanaume wenzangu..tafuta hela nakusihi tafuta helaaaa Joyce hana tofauti na wanawake wengine..mwanamke atakuvumilia pale akikuona unafight kutafuta mbili tatu.. usipokuwa unafight utadhalilishwa tu. pesa kwa mwanamke ni kama uzuri kwako ulivo muhimu kwetu. mwanamke akibweteka akawa hapendezi tena utatafuta nje tu wakupendeza na mwanaume ukiacha kutafuta naye atatafuta tu wa kumlea
 
biblia ya wapi hii
 
Hakuna hicho kitabu ndani ya Biblia takatifu labda za mtaani
Ndugu hiyo ndiyo biblia iliyokamilika. Kwa taarifa yako, hicho kitabu cha Yoshua bin Sira ni miongoni mwa vitabu vinanyoitwa deutrokanoni. Hivi vitabu ndivyo vinaifanya biblia takatifu kuwa na vitabu 72, ndiyo inayotumiwa na Kanisa Katoliki. Vitabu hivi viliondolewa kwenye orodha na Martin Luther. Lakini sasa hata makanisa ya kiprotestant yameshaviridhia hatua iliyopelekea kuvichapisha kwenye baadhi ya matoleo mapya. Itafute biblia hiyo ili ulipate neno la Mungu kwa ukamilifu wake.
 
Ndoa ikikushinda ni vyema kuachana kwa amani na siyo kutoleana siri zenu
 
Hakuna sehemu imeandikwa siku zote mwanaume atakua amesimama tu kichumi, kuna kukosa kazi, kuumwa, kupata ajali.... etc
Huyu dada ni shetani, mwanaume kupiga mwanamke haikubaliki hata kidogo lakini ni mpumbavu tu anaetoka nje na kuanza kuelezea matatizo ya familia tena ambayo hayafai kuwekwa hadharani. Wanawake wangapi wanalea familia zao na mwisho wa siku mambo yanarudi kwenye mstari?
 
We ni mwanamke?
 
Which religion do you refer to? Aren't you away that religions are not uniform? If you think a religion is like a pe.nis and that you ought to keep it hidden, it's a bad luck. It is a bad luck because a real man doesn't hide his pe.nis to himself. He uses it for reproduction henceforth he exposes it to his wife.
 
Nani kakuambia hiyo imekamilika? idadi ya vitabu vinavyotakiwa kua ndani ya Bible unaipatia wapi ili ku prove hilo?

Sira??? [emoji28] [emoji28]
Biblia iliyokamilika inapatikana kwenye kanisa takatifu katoliki la mitume. Huko ndo yaliko mamlaka ya kufungua na kufunga aliyokabidhiwa Mtume Petro. Huko ndo vilifungwa vitabu 72 kuwa neno la Mungu na kuviacha mamia ya vingine kuwa mapokeo yafaayo kunakishi misingi ya ukristu.
 
Nawashangaa hata ambao wanaendelea kumpa airtime afukuzwe
 
Kileo haumwi, hajapata ajali, na kazi aliyoichagua ni siasa ambayo ndo anafanya hata sasa. Kwa hiyo lazima tushangae tukisikia mwanaume huyo analishwa na mkewe.
 
Nakubaliana na wewe, lakini hakuna ilipoandikwa kwamba mwanaume kila siku tu atakua nazo... kuna shida na raha, uvumilivu ni jambo la msingi sana, huyu mjinga kama umegundua kaanza kulalamika baada ya mume kupita kipindi cha mpito.
Mimi kama mwanamke mwenza wangu akipitia kipindi cha mpito kuna namna ya kuongea nae kutiana na moyo na kubuni mbinu mbadala za kutafuta kipato, ikitokea hunisikilizi na kujilea naweza (kama anavyojinadi) tunaachana kiroho safi bila matarumbeta sababu hata ukitangaza hadharani hamna kinachobadilika zaidi ya uadui tu ndani ya familia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…