LING'WINA Senior Member Joined Jan 4, 2012 Posts 170 Reaction score 114 Jan 8, 2012 #1 ni nini usahihi wa matumizi ya maneno "TUNZO na TUZO?"
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,767 Reaction score 6,575 Jan 8, 2012 #2 tuzo huwa inatolewa baada ya kushinda kutokana na upigiwaji wa kura na mnakuwa wengi. tunzo huwa anapatiwa mtu mmoja kama heshima fulani aliyoitoa kwenye jamii yake.
tuzo huwa inatolewa baada ya kushinda kutokana na upigiwaji wa kura na mnakuwa wengi. tunzo huwa anapatiwa mtu mmoja kama heshima fulani aliyoitoa kwenye jamii yake.