Wauswazi wenzangu, mnakumbuka matani? Twende, twendee, twendeee

Greater thinker

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
286
Reaction score
38
Mgongo ka meza ya kahawa tweendee tweendee...

Macho ka kete za pool...tweendeee tweendee..

Mfupi ka mabetriii tweeennnddeee twendee

Meno ka folen ya madumuu twendee twendee..
 
Yah! Man umenikumbusha long time ago.
 
miguu kama spoku za baiskeli twende twendeeeeeeeeeeeee....mpaka leo sijajua spoku za baiskeli ndio nini na zikoje?
 
Macho ka ndulele..twende twende...twende...
Nakumbuka ukizidiwa unamwambia mwenzako...ngoja nitasema ulivyofanya matusi na fulani...hapo ananywea anaanza kukubembeleza
 
Macho ka ndulele..twende twende...twende...
Nakumbuka ukizidiwa unamwambia mwenzako...ngoja nitasema ulivyofanya matusi na fulani...hapo ananywea anaanza kukubembeleza

hahaha
 
umelegea utadhani umekula mlenda twende twende
 
Twendeeee twendeeee umekomaa mpaka ukitema mate yanadunda.....
Hahaha long time ago ilikuwa hiyo nilikuwa nakijidaftari cha matani.
 
Nini nini nini nini "huyu jamaa alilala na mama na baba usiku kujigeuza akashika uboo wa baba na kumwambia baba ile betri ya redio hii hapa"
bado unataka tena nini nini nini nini...........
 
Nini nini nini nini "huyu jamaa alilala na mama na baba usiku kujigeuza akashika uboo wa baba na kumwambia baba ile betri ya redio hii hapa"
bado unataka tena nini nini nini nini...........
ha ha ha....
 
Twende twende...ndo maana mrefu kama mwaka wa njaa..twende...twende...
 
Mashavu ka mimba ya panya ..... twendee.. twende....
meno ka mla nyama za watu.....
mikono mirefu ka mchimba kaburi... haya sasa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…