Wauza dagaa kanunueni dagaa Uganda na Kenya mpeleke Sudan Kusini

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Wakuu,

Wale wafanyabiashara wa dagaa hamieni Uganda na Kenya nako wanavua dagaa na soko kubwa liko Sudani Kusini hawa wanaoendesha operation ziwa Victoria wasiwaathiri.
 
Fursa hyo kwa wauza dagaa bora wahamie hko hku kushasanuka mkuu

Ova
 
unayafahamu masharti ya kuvua katika hzo nchi?? LA pili, unafahamu mazingira ya kibiashara hasa ya dagaa hzo nchi??
 
Nonsence! Kwan binaadam amezaliwa ili afanye biashara ya dagaa pekee hapa duniani? Si wafanye biashara zingine wakiwa hapa bongo bannaa.ya nini kuhamisha mtaji ugenini asee.mawazo mgando ayo
 
Fursa ya maana hii wadau
 
Acha kuandika pumba. Mtu anafanya biashara ile anayo ipenda rohoni mwake. Sasa kama kuna kazi nyingi afanye tu ata kama hajaipenda? Ndio mwanzo wa kupotea kwenye reli ya mafanikio katika kazi, fanya kile unapenda. Kama huko Uganda kuna fursa kwann wasiende mbona ww umetoka kwenu kijijini kuja Dar kuzifuata fursa.
Nonsence! Kwan binaadam amezaliwa ili afanye biashara ya dagaa pekee hapa duniani? Si wafanye biashara zingine wakiwa hapa bongo bannaa.ya nini kuhamisha mtaji ugenini asee.mawazo mgando ayo
 
Sasa kama Kenya na Uganda bado wanavua na nyavu Zile zile ndogo ndani ya ziwa Vic wavuvi wetu watakua wamepoteza sana sana duuh. Tuombee isiwe kweli maaana upande wetu yatageuka masalia na kwingne wavune.
 
Nonsence! Kwan binaadam amezaliwa ili afanye biashara ya dagaa pekee hapa duniani? Si wafanye biashara zingine wakiwa hapa bongo bannaa.ya nini kuhamisha mtaji ugenini asee.mawazo mgando ayo
We nawe usituchoshe, sasa mtu km kisha invest mapesa yake huko unataka afanyeje? Achukue boti lake na nyavu apite barabarani kupakia watu kwenye hiyo boti kuwasafirisha kwenye lami? Great thinkers sijui wameenda wapi jamani, jukwaa limekuwa vululu vululu, unauliza hesabu unajibiwa historia, unauliza sahani unajibiwa bakuli...mnakera bana! Mtu mpaka anaingia kufanya issue km hiyo ujue kashaisoma na kuitafiti kitambo, ss aanze upya kutafiti biashra nyingine eeh, utampa wewe huo muda na mali za kuchezea?????
 
iko hivi kenya na uganda kodi iko chini na wanaruhusu biashara huria sasa hii operation iliyoua mitaji bado watu wasubiri hapana.
 
kuna utaratibu ukiufata hakuna matata.. ila dagaa hata kenya palepale wanalipa pia
 

Hahahaaaa mkuu Great thinkers tupo ''ila basi tu'' tunawachora from far
 
Nonsence! Kwan binaadam amezaliwa ili afanye biashara ya dagaa pekee hapa duniani? Si wafanye biashara zingine wakiwa hapa bongo bannaa.ya nini kuhamisha mtaji ugenini asee.mawazo mgando ayo
Kichwa kinajieleza WAZI
KWA WAFANYABIASHARA WA DAGAA

AU WEWE NDIO WALE AKINA ZIRO!
 
Wakuu,

Wale wafanyabiashara wa dagaa hamieni Uganda na Kenya nako wanavua dagaa na soko kubwa liko Sudani Kusini hawa wanaoendesha operation ziwa Victoria wasiwaathiri.
Mkuu kule wanauzaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…