Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Dec 11, 2023 #21 leoleo-tu said: Basi hongera Click to expand... Pole yako mkuu
kinywanyuku JF-Expert Member Joined Jul 13, 2015 Posts 3,746 Reaction score 2,924 Dec 11, 2023 #22 Kindeena said: Ona huyu. Mahindi mengi 90% ya Dar yananunuliwa Soko la Simu 2000 (Mawasiliano). Huletwa na magari kutoka Iringa, Mbeya, Kenya na Moshi. Binafsi, hii ni moja ya kazi nitakayoifanya iwapo ya sasa itakoma. Click to expand... Unayatoa wapi hayo mahindi mtaji kiasivgani
Kindeena said: Ona huyu. Mahindi mengi 90% ya Dar yananunuliwa Soko la Simu 2000 (Mawasiliano). Huletwa na magari kutoka Iringa, Mbeya, Kenya na Moshi. Binafsi, hii ni moja ya kazi nitakayoifanya iwapo ya sasa itakoma. Click to expand... Unayatoa wapi hayo mahindi mtaji kiasivgani
Kindeena JF-Expert Member Joined Sep 27, 2017 Posts 11,462 Reaction score 21,124 Dec 11, 2023 #23 kinywanyuku said: Unayatoa wapi hayo mahindi mtaji kiasivgani Click to expand... Ila una kichwa kigumu hatari. Hata nikikueleza hautaelewa
kinywanyuku said: Unayatoa wapi hayo mahindi mtaji kiasivgani Click to expand... Ila una kichwa kigumu hatari. Hata nikikueleza hautaelewa
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,302 Reaction score 7,815 Dec 12, 2023 #24 Kuna aliyetajirika kwa biashara hii? NB: tusitoke kwenye reli the goal is to be successful