Wauza simu wa dar pitia hapa tufanye biashara.

Wauza simu wa dar pitia hapa tufanye biashara.

Mnazinguakinoma

Senior Member
Joined
Dec 3, 2021
Posts
179
Reaction score
338
Habari za wikendi wakuu. kwa wale wafanyabiashara wa simu za jumla mimi natafuta mtu ambaye tutafanya nae biashara niwe nachukua simu kwake kwa bei ya jumla hata kama upo mkoani hasa wa iringa mjini au mafinga na makambako njoo inbox tuyajenge. Simu ndogo za batani ndo ninazotaka. Nawatakia wikendi njema. By kerebu kutoka nyanda za juu kusini.

img_2_1648357419266.jpg
 
mkuu ukifanikiwa! niko dar kama uko mkoani tufanye biashara
 
Back
Top Bottom