Wauza smartphone tukutane hapa

Nina Samsung Galaxy J2 Niko Moshi.Bei 150k.Iko kwenye hali nzuri imetumika miezi 3.Nimeshindwa kuattach picha hapa.Kama uko interested no PM
 
Hapana haiwez kua hio, kuna mchina yake ,wanaonesha ina support ila sio kwelii
Yeah ila ile ni original na sehemu nilio iona ni duka ambalo na nunuaga simu mara nyingi na haijawah niuzia feki mkuu
 
Yeah ila ile ni original na sehemu nilio iona ni duka ambalo na nunuaga simu mara nyingi na haijawah niuzia feki mkuu
km n OG bas, lazma itakua n tofaut kdg, hii haisuport wasap kbsa, nilijarb kila njia, na mwisho nikaangalia kweny mtandao wakasema haisuport
 
IPhone 6 16 gb..650,000 niko Moshi,,iko vizuri anayehitaji tuwasiliane
 
Nina 400k kwenye mfuko wa shati natafuta tablet/laptop aina yeyote lakini iwe angalau na sifa hizi ;battery capacity not less than 3hrs,RAM not less than 2GB processor intel core i3 and above/au naweza chukua hata below core i3 kutokana na condition yake na HDD not less than 500GB.....kama ni tablet basi angalau ikaribiane na sifa hizi....iwe ya Samsung/Xiaomi/LenovoYoga/Nexus/LG with RAM not less than 2GB and internal at least 32GB kama uko interested nicheck moja kwa moja
0656166717 niko Dodoma mjini.
 
IPhone 6 16 gb..650,000 niko Moshi,,iko vizuri anayehitaji tuwasiliane
Nipo holili HAPA , muda kitambo nmetoka taveta kutafuta hiyo simu, please weka picha na details zote zinazohusika.
 
Nna SAMSUNG GALAXY MEGA PLUS imetumika miezi mi4 tu, naiuza,
Bei maelewano nicheki 0757600123
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…