jimmy jay jay
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 223
- 39
ipo oppo A37f...tuwasiliane pm mkuuMwenye simu ya OPPO jamani nahitaji
Taja bei na location yako mkuuipo oppo A37f...tuwasiliane pm mkuu
Thanks mkuu nishapata tayari.ipo oppo A37f...tuwasiliane pm mkuu
kwa sifa ulizotaja na bei uliyotangaza kuna tecno C9..Kama ni tecno w5 ile yenye 4G nakupa 160 <br /><br />Simu nyingine kigezo cha kwanza iwe na 4G ,RAM 1.5 -2 GB <br /><br />MAZUNGUMZO YAPO KARIBUNI<br /><br /><br />Pia nina tecno w4 nauza kwa 130 imetumika 6months na kama unataka tubadiishane na simu ya 4G na nikuongeze mkwanja karibu
Ongzea 70 apo kiongozi nikupe iPhone 4 from UK used ziko poaNatafuta tecno boom j8 bajeti yangu 130k
Weka picha, au weka location lilipo duka lakoOngzea 70 apo kiongozi nikupe iPhone 4 from UK used ziko poa
Chukua namba iyo uje upewe maelekezo sichukui pesa ya mtu mbaka aino nakulidhika kuichukua, kwani kila mfanya biashara anaduka but picha natumia simu apa naona inakataa ndio maana nimesema njoo whatsap nikutumie ukiridhika unakuja kununuaWeka picha, au weka location lilipo duka lako
Njoo pmNatafuta Huawei Mate 8 used au mpya ni bei gani wakuu
weka picha na useme spesficat zake. ubora wakr kwaujumla. na bei yakuanziaPhilips mpya bei maelewano