Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Samsung grand prime plus mpyaaaaa kwenye boxWakuu kwa 250,000 mtanipa simu gani kama ni used au mpya hebu mnipe jibu nione itakayofaa wakuu.
Thanks a lot.
Kuna mtu alitaka kuniuzia wiki 2 zipizopita wacha nimcheki kama anayo nikuunganishe naeNataka Samsung S8+ mwenye nayo anicheki nina 1.2
Kuna mtu alitaka kuniuzia wiki 2 zipizopita wacha nimcheki kama anayo nikuunganishe nae
Mkuu mpya full box kwa pesa iyo huwezi pata may be used clean condition ata Ivyo still kwa mbinde sanaNataka Samsung S8+ mwenye nayo anicheki nina 1.2
Mkuu mpya full box kwa pesa iyo huwezi pata may be used clean condition ata Ivyo still kwa mbinde sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta iphone 5s
Iphone 5s mpya
Lakhi 5 tuh..simu original kabisa mpyaa..wateja wateja..pia kuna iphone na samsung s series bei poa sana..karibuni
Iphone 5s mpya
Lakhi 5 tuh..simu original kabisa mpyaa..wateja wateja..pia kuna iphone na samsung s series bei poa sana..karibuni
Iphone 5s mpya
Lakhi 5 tuh..simu original kabisa mpyaa..wateja wateja..pia kuna iphone na samsung s series bei poa sana..karibuni
Iphone 5s mpya
Lakhi 5 tuh..simu original kabisa mpyaa..wateja wateja..pia kuna iphone na samsung s series bei poa sana..karibuni