Mweusi2017
Member
- Jul 11, 2017
- 39
- 47
Katoe boc uitumieIPhone 6s plus ina icloud bado Mpya bei 150000
Hebu changa mpk 1.4mNatafuta samsung galaxy S8 offer yangy Milion moja...iwe mpya au km imetumika isiwe imezid two month means kila kitu chake kiwepo box n.k
Nilishapata mkuuHebu changa mpk 1.4m
Bado ipo mkuu?IPhone 6s plus ina icloud bado Mpya bei 150000
Bora akanunue Mpya tu Hamna jinsi, kkoo 75k saiviNauza tecno Y3+
45000/-
Utabadilisha mic na touch otherwise iko ok
Hizo tv bado zipoOffer ! Offer !offer
ZANZIBAR GENERAL SUPPLY
wanakuletea punguzo la bei katika Msimu huu kama ifuatavyo!
Pata LG au SAMSUNG 43 Inches Led Smart Tv for only 450,000 tshs
[HASHTAG]#specifications[/HASHTAG]
.HDMI SUPPORT
.Built decoder
.wifi support
.usb ports etc
Tunapatikana Malindi mjini Zanzibar
[HASHTAG]#Wakazi[/HASHTAG] wa Zanzibar unaletewa popote ulipo bure/Tanzania bars tunatuma baada ya malipo kwa usalama na uaminifu mkubwa.
#NB one year warranty
[HASHTAG]#cont[/HASHTAG] 0712986773
Ukipata nitag na mmTecno Phantom 6 au 6+ inahitajika bejet 300,000/= iwe imenyooka uwe Dar maeneo ya kariakoo, Temeke au maeneo ya karibu na hayo 0658060467