Wauza smartphone tukutane hapa

Iphone 7 Plus
Full Box
128GB
Color: Matte Black

Price: Tshs 1,558,000/=

1 Year Warranty.

Tunapatikana Kariakoo (Msimbazi St).

Call/Text : 0654 910 120.

Tunatuma popote Tanzania.
 


Iphone 5
Storage 16GB
Price 220k
location TBT segerea
Cont 0763976109 0658190978
 
Natafuta fundi wa kuchinja laptop yangu au anayenunua akarekebishe power switch, nimekata cable ya power switch bahati mbaya wakati narekebisha hinge za laptop zilikuwa ngumu sana.
Computer ni HP-15-r000na
Specifications
RAM-2GB
HDD-500 GB
Wifi/Bluetooth
15.6 inc screen
Battery life- 4 hours
Ina adapter yake kama inavoonekana.
Ukiamua kuchinja unato RAM, HDD, Battery, Screen, Motherboard, Feni, Keyboard,Wifi/Bluetooth adapters kila kitu kizima. Tatizo ni power button haifanyi kazi cable yake ya ndani imekatika.

Bei jipangie mwenyewe, lakini kuwa fair sababu chombo ni nzima isipokuwa power switch tu.
Pia kwa atakayekuwa anafahamu au anauza hiyo switch ya hp-15 naomba tuwasiliane ikishindikana kuuza niirekebishe niendelee kutumia.
Mawasiliano: 0743808351
 
Last edited:
S7edge kwa 750 tuu color gold cm mpya 32 gb verizon location magomen
 
Anaeuza display ya simu ya j2 anauza bei gani?
 
Samsung Galaxy s6 edge plus Full box

Contacts 0652332255
Color Gold and Dark blue
Memory 32 gb
Ram 4 gb
Camera 16 mp
Networks 4G LTE
Fingerprints work
Price 600,000/-

Location Ilala + a free delivery in Dar
 

Attachments

  • IMG-20180803-WA0010.jpg
    31.2 KB · Views: 44
  • IMG-20180803-WA0013.jpg
    30.4 KB · Views: 42
Samsung Galaxy s6 Full box

Contacts 0652332255

Color White aka Cheupe pee
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Networks 4G LTE
Fingerprints work
Price 390,000/-

Location Ilala plus a free delivery in Dar.

 

Attachments

  • DSC_0557.JPG
    41.4 KB · Views: 41
Samsung Galaxy Note 4 Full box

Contacts 0752332255

Color White
Memory 32 gb
Ram 3 gb
Camera 16 mp
Networks 4G LTE
Price 390,000/-

Location Ilala plus a free delivery on Dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…