Wauza smartphone tukutane hapa

Utazeeka nayo kama kandambili
Peleka stress zako kijijini..wewe km nani wa kunikosoa? Au wakuniambia nitafute jukwaa wewe sio mnunuzi unawashwa na nini kwa mfano? Nikiuza bei yoyote inakuhusu nin?
 
Jama mwenye tab A ya 2016 tuwasiliane ASAP.
0713558111
 
Mwenye simu yoyote ya vivo ambayo imetoka 2017 kuja miaka ya mbere aje hapa na model na picha na price pia
 
Second hand UK (unlocked ) Samsung Note 8 gb 64 zipo na charge aina box wala earphones...bei 1100000/=
Second hand UK (unlocked ) Samsung S9 plus...bei 1350000/=
Call 0629565168
 
Habari za leo wana jukwaa .

Nipo hapa nauza simu aina ya :

TECHNO W3 LTE



simu ina protector cover ,

phone condition: good

nipo DAR ES SALAAM magomeni

bei 135,000/= Tshs Bei ni negotiable .





For contacts njoo INBOX



picha zake..
 
Samsung Galaxy s8+ (64 gb)

Color Black Sapphire
Memory 64 gb
Ram 4 gb
Camera 12 mp
Networks 4G+
It comes with full Accessories

Price 950,000/-
Contacts 0652332255
Location Ilala
 

Attachments

  • DSC_0653.JPG
    85.1 KB · Views: 41
  • DSC_0654.JPG
    75.1 KB · Views: 36
  • IMG-20180909-WA0009.jpg
    17.4 KB · Views: 46
KUNA TECNO C-9,RAM 2,INTERNAL STORAGE 16 GB,CAMERA MEGA PIXEL - 13.0,IPO KWENYE HALI NZURI KABISA(MPYA).

BEI 180,000/=
Hii simu bado ipo mkuu ama ulishaga iuza kama ipo nijibu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…