Ni mpya mkuu. halafu gb ngap?Nikupe j8 kwa 150
Ni 16gb... Mpya huwezi kupata mkuuNi mpya mkuu. halafu gb ngap?
Siwez kupata madukan au?mkuu ina muda gan pia upo wap? weka namba ya simu.Ni 16gb... Mpya huwezi kupata mkuu
For serious buyer aje pmOffer offer offer ya leo ps3 kwa laki 2 na nusu tuu
Huu utaratibu wa kutuwekea picha za ku-download google sio mzuri. Weka picha halisi ya simu yako. Wahofia nini kuweka picha halisi? Au unauza CLONE?**INAUZWA**
SONY EXPERIA Z3
Display 5'2 | ram 3gb
Network 4G | Storage 32gb
Camera 20.7mp LED Flash
Ina Grove mode
(una touch hata kama Umevaa groves)
Battery 3100mAh
Price 220kView attachment 966787
Kama Nyege nyegezi.... Tukutane pmHuu utaratibu wa kutuwekea picha za ku-download google sio mzuri. Weka picha halisi ya simu yako. Wahofia nini kuweka picha halisi? Au unauza CLONE?
Picha yako umeitoa kwenye link ifuatayo:
[XPERIA][4.4.4] Sony Xperia Z3 FOR A310 & Clone Devices [Beauty+Power+Battery]
Acha utapeli, tukutane kwenye thread yako hii uliyoikimbia baada ya kuombwa uthibitisho wa bidhaa yako.Kama Nyege nyegezi.... Tukutane pm
Mkuu kuwa makini na huyo jamaa, najua umetangaza ofa yako kwa kuvutiwa na picha aliyobandika. Ila picha hiyo sio ya bidhaa yake halisi. kaitoa hapa [XPERIA][4.4.4] Sony Xperia Z3 FOR A310 & Clone Devices [Beauty+Power+Battery]. Tumeshamuomba mara kibao aweke picha ya simu yake lakini huishia kutukana tu.Boss chukua 170k
Nahisi unatafuta wa kuku**la mimi sideal na watu wa hivyo maana umening'ang'ania mpaka najiuliza kwenye hii biashara yangu kuna sehemu nimekutag au wewe tu na muwasho wako unakusumbua.... Plz hii mara ya mwisho nakujibu sideal na watu wa hivyo.... Hiv ukinyamaza utapungukiwa na chochote plz jieshimu mkuu sijataka nijibu hivi ila nimekujibu ili ulizikeAcha utapeli, tukutane kwenye thread yako hii uliyoikimbia baada ya kuombwa uthibitisho wa bidhaa yako.
Sony experia Z3 for sale - JamiiForums
We jamaa utakuwa kuna kitu unatafuta kwa jamaa Kha sio kwa kumfata huku... [emoji23]Mkuu kuwa makini na huyo jamaa, najua umetangaza ofa yako kwa kuvutiwa na picha aliyobandika. Ila picha hiyo sio ya bidhaa yake halisi. kaitoa hapa [XPERIA][4.4.4] Sony Xperia Z3 FOR A310 & Clone Devices [Beauty+Power+Battery]. Tumeshamuomba mara kibao aweke picha ya simu yake lakini huishia kutukana tu.
Rejea uzi wake huu Sony experia Z3 for sale - JamiiForums
Matapeli wote ndio huwa hivyo hapa jf. Ukiwabana vema hutukana, na mwisho hujificha kwenye chaka kuwa simu imeshauzwa ili kuepuka hitajio la kuweka picha halisi ya bidhaa. Nashukuru nimewaokoa waliotaka kutapeliwa. Na bila shaka hutorejea kamchezo hako tena.Nahisi unatafuta wa kuku**la mimi sideal na watu wa hivyo maana umening'ang'ania mpaka najiuliza kwenye hii biashara yangu kuna sehemu nimekutag au wewe tu na muwasho wako unakusumbua.... Plz hii mara ya mwisho nakujibu sideal na watu wa hivyo.... Hiv ukinyamaza utapungukiwa na chochote plz jieshimu mkuu sijataka nijibu hivi ila nimekujibu ili ulizike
Nb:
Sony Experia Z3 nimeshauza.
Kishainua mikono juu huyo, sasa hivi aendelee kuinjoy na jfWe jamaa utakuwa kuna kitu unatafuta kwa jamaa Kha sio kwa kumfata huku... [emoji23]
Kwani mkuu nilishawahi kukutapeli?Kishainua mikono juu huyo, sasa hivi aendelee kuinjoy na jf
Mm ninayo nzima s6Mwenye samsung galaxy s6 ilopasuka kioo kwa maana circuit nzima lakin model iwe G920f tucheckiane pm tufanye biashara
Haina maana kwangu hyo BossMm ninayo nzima s6