Saida said
Senior Member
- Apr 13, 2018
- 158
- 184
Bado ipo mamy?Nauza simu Samsung J1 ace
Haina tatizo lolote kabisaaa
Inauzwa kwasababu kuna simu mpya kubwa imenunuliwa
Earphones zake zimeharibika
Kuna simu, chaja na cover la nyuma.
Pia ina glass protector ambayo ina nyufa ndogondogo
Bei laki 120
Kama upo Dar sehemu ambako panafikika kirahisi nitakuletea mzigo ulipo
Mawasiliano 0652884040View attachment 966811View attachment 966812View attachment 966813View attachment 966814
Weng humu ni matapeli tu. nina shida na simu techno j8 au samsung galax na kuanzia gb 16 na kuendelea kwa 160. kama upo serious kweli na weka namba ya simu. kama ukijifanya kuonyesha utapeli utajuta kuzaliwa.
IPO j8.iko vzr sana haina tatizo lolote
Vipi bado ipo hyo simuBado ipo?
Samsung J4( 2018) Gb32 mpya
Njoo pm kama unahitaji bei sawa na bure 270k tu View attachment 969041View attachment 969042View attachment 969043