Wauza smartphone tukutane hapa


Samsung A70...full box..(1 month used)
Price 700,000
Info::0717002162
Location::dar es salaam
 

Brand new samsung A10s..ina fingerprnt
2 years samsung warranty.
Price;;300000
Location :::dar es salaam
Info:::0717002162
 

Brand new huawei honor 10 lite
One year huawei warranty
64gb storage ,,,ram 4gb
Price ::580,000
Location ;;dar es salaam
Info;;0717002162
 

Brand new iphone 6 plus(gb 64)
One year warranty
Price::530,000
Location ::dar es salaam
Info::0717002162
 
Huawei P7
2gb RAM
16GB ROM
4G LTE
Bei 160,000
Napatikana Dar
0789926264
 
Ila Jamani wanaouza simu
iPhone 6
Kwa Laki 6, Laki 5 au 4
nadhani hawapo serious
coz hiyo ni iPhone 6
Je mwenye iPhone 6s ama 7?
coz hizo 6 hata ios ya 13 huwezipata
na mwakani pia wa iPhone 6s na iPhone 7 wajiandae
nao hawatapata ios mpya
iOS mpya watapata kuanzia iPhone 8 kupanda Juu
Kwa mujibu wa Apple.
Guys fikirieni hizo bei zenu
ni ushauri tu
 
Ukwelii mtupuuu
 
Redmi note 7 Pro inauzwa.
Storage 128GB
Ram 6GB
Battery 4000mAh
Kamera iko njema sana
Imenunuliwa July mwishoni, kila kitu kipo mpaka risiti utapewa.

Bei 600,000 Tsh.
Sababu ya kuuza: Nataka hela nimefulia

Iko Dar
Mawasiliano: natokahapa@gmail.com
Au PM

 
Sony Ericsson
 

Attachments

  • FB_IMG_1570492919763.jpeg
    83.6 KB · Views: 3
Offer offer s7edge iko sale kwa laki 2 na 8o tuu ina creak inatumika bila tatizo lolote location magomen
 
*SAMSUNG S10+ [emoji336]*
BRAND NEW [emoji91]
STORAGE 128GB [emoji1010]
RAM 8GB [emoji573]
FULL BOX [emoji320]
BLACK/ WHITE 🖤
*TSH 1,550,000/=*
*___________________*

12 MONTHS WARRANTY
0676175260
 
iPhone 7 32GB used in a good condition
price: 570,000
colour:rose gold
location: Dar es salaam
info:0714 036595
 

Attachments

  • 9472E1AF-0877-42DF-9C35-BCE4301400B2.jpeg
    109.4 KB · Views: 3
  • 6E600635-5400-49D3-B2A3-1372A1784F06.jpeg
    104.1 KB · Views: 3
  • DE8716FE-47E1-4D07-AAC6-5A78652686E8.jpeg
    128.3 KB · Views: 3
  • 3F2E13EF-273E-4812-8DEF-E50A27C2C425.jpeg
    131.2 KB · Views: 3
  • 2A9D41C5-70E7-40F1-8BAF-3C337A51897D.jpeg
    142 KB · Views: 3
Watu wa Jamii forums ni wajuaji sana kuna Mteja kaja dukani anataka samsung s7edge kaletewa simu mbili sealed kafungua zote mwisho wa siku anasema simu sio OG kisa hazimatch na TCRA kaondoka bila kufanya chochote. Nilielewa jamaa hakuwa na pesa akaleta ujuaji mwingi akipita hapa ataona, na wewe punguza ujuaji unless unafanya biashara unaagiza mzigo unajua faida.
 
Natafuta simu Model : Vivo Y93, Y91 alienazo anitajie bei.
 
Mzee na s7 edge plus ni bei gani mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…