Wauza smartphone tukutane hapa

Nataka samsung A80 used mwenye nayo anipe bei chap tufanye biashara.
 
Iphone 6s+
16gb
Imenyooka sana

Bei:400k

Sababu ya kuuza nimepewa niitumie lakini imenishinda simu ni ngumu kuliko maisha yangu...sasa niwaze maisha niwaze simu,kifupi nishazoea android....

Hivyo kama una android kali njoo PM exchange inaruhusiwa....nilikuwa natamani iphone lakini nimetumia wiki mbili tu sitaki tena nishazoea kudownload vitu mbalimbali sasa hii simu ina restriction kibao aaaaaghhh yinga media hola,video order hola,vidmate hola aaaaagh
 

Simu unauza halafu unaiponda,nani ataitaka sasa
 
Simu unauza halafu unaiponda,nani ataitaka sasa
Waliozizoea kutumia watainunua ,hapa ninapofanya kazi kuna mtu anaitaka ila anataka anipe pesa kwa awamu na mimi sitaki maana siwezi fanikisha lengo langu,.......mimi nataka nikiuza hapohapo nanunua simu....kifupi nimetoa ukweli wangu wa moyoni...
 
NimekuPM mkuu,au nicheck hapa

0673807733

Tumalize biashara
 
Kuna J7 pro Samsung
Duos
32gb
Gold colour
340k maelewano yapo
0658218704
Kimara.
 
200k njoo tufanye Kaz
 
niPM mkuu kuna 350k tumalize biashara
 
Wakuu,
Naweza kupata Infinix Hot 7 mpya kwa 180,000/=?
 
Oppo R17 on Sell
Ram 6GB,
Storage 128GB
Global Version
Used 9 month in very Good Condition
Pm me if you are Interested
Price 500K
Thank You in Advance
 
Oppo R17 on Sell
Ram 6GB,
Storage 128GB
Global Version
Used 9 month in very Good Condition
Pm me if you are Interested
Price 500K
Thank You in Advance
Sorry i havent uploaded the photos will do so latter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…