Mzee Ashanti
Member
- Jan 3, 2020
- 60
- 52
Kwa picha Zaid njoo whatsap 0762148764Nauza samsung Galaxy S7 edge 32gb line 2 bado mpya nilikua nshaweka protector kwa ajili ya kutumia mm Ila nimepatwa na shida naitupa kwa 340,000/= wah njoo ukagueView attachment 1325085View attachment 1325086View attachment 1325087View attachment 1325088View attachment 1325089
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta samsung galaxy s7 edge
Bei 180000—200000 top uwe na risiti ulizo nunulia
Nipo dar
contact - 0621058954
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa kanunuliwa na shemeji yake,yeye analeta tamaa ya kuuzaKubal kujifunza mzee kama unauza weka bei inayoongeleka vinginenyo utaonekana mshamba tu ulinunuliwa simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi za Electronic resit kuna namna unaweza kuandika jina lako LA bidhaa uliyo nunua sema wengi sijui hawajui kuzitumia au laMm hata km ananipa na risit as long sio dukani
Lazima nimrekodi na tuandikishianee...
Sasa unadakwa Unajitetea na risit Halaf jina si lako utatokaje hapo boss?Mm nikiendaga kununua hizi mambo hizi risit zao za ki electronic nachukua ila nawaambia wanikatie na zile nyingne
Inaonesha jina lako..
Jina la bidhaaa....
Model yake....
Imei Number n.k
Na mwisho unatia na Sahihivyako kbsaa...
Hizi za ki eletronik
Wanaandika tu bei na simu
Hakuna jina la simu..
Hakuna jina la mnunuzi
Hakuna model ya simu
Hakuna imei number
Hakuna sahihi yako..
Si za kuamini sanaa
Zile zipo ki TRA zaidi na si usalama
Na hata muuzaji akiamua akugeuke km si mwaminifu ni rahisi
HUNA CHOCHOTE CHA KUSEMA HII BIDHAA NI YANGU....
NARUDIA TENA HUNAAA..
Lg V20 Brand New Full Box
Android 8
Ram 4 Gb
Internal Storage 64Gb
Main Camera Dual Camera 16 and 8 Mega Pixel
Fingerprint
Location
Arusha
0712350159View attachment 1325958View attachment 1325959View attachment 1325960View attachment 1325961
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu bossDaah imeniuma sana mwez uliopita nmechukua v10 kwa 340k...
ila ngoja nifanye kuipush nichukue v20