Vivo y11 na 12 mnauzajeHuawei Y9 Prime 2019 (Sealed)
* 128GB Storage
* 4GB RAM
* Stylish Auto Pop Up Selfie Camera (16mp)
* 4000mAh battery
Zimebaki pieces chache.
Bei: Tshs 680,000
Contact: 0625 54 77 67
Napatikana aggrey st, DSM.
Kama upo nje ya DSM unaweza kutuma mtu unaefahamiana nae akaja dukani kuchukua simu kisha akakutumia. View attachment 1473364View attachment 1473365View attachment 1473366
Y11 329kVivo y11 na 12 mnauzaje
Hizo sina boss.Vivo y11 na 12 mnauzaje
PichaSamsung J5 nnayo nataka mtu tubadiliahane na tecno au infinix hii samsung ina mistari kwny kioo inakuja na kuondoka,,' kama utakiwa na simu nzur zaid nakupa hii snsung na hela kdgo
400kIphone 7 plus
Color: Black
Memory: 256 gb
Condition: perfect but used
Battery percentage: 100%
Price 700,000 Tsh
Free delivery
0762987034
Samsung j730f pro napata kwa sh ngap?LCD za aina zote zipo
200,000Samsung j730f pro napata kwa sh ngap?
Kwa display parefu sana mzee200,000
Nunua simu mpya tajiriKwa display parefu sana mzee
200,000
Display ya LCD unamuuzia nani 200k?Nunua simu mpya tajiri
A20 unachukua mkuu ?? Au siyo kali ??Oi!
Natafuta samsung kali used, iwe S au A series.
Location: Dar
Budget: 500k
Ukiwa hujui kitu ni bora kuuliza tajiri sio kupinga. Uwe na siku njemaDisplay ya LCD unamuuzia nani 200k?
Tena J-series,
Na super AMOLED utauzaje,
Lete 330k nikuuzie y12 yangu..Vivo y11 na 12 mnauzaje