SectionTwenty
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 675
- 611
mkuu hiyo sopar 5 ni simu au kitu gani?? Maana sijakuelewa kabisaSopar 5 ya startimes kwa 150,000 tu... Nicheki 0714499248
Nna Samsung A5 imetumika wiki 2 tu.haina tatizo.bei Tshs 620,000.
Upo wapi, na bei gani hizo simu?Habari wakuu. Ninauza Samsung A5 mbili, Sony xperia C3 moja na Samsung S2 moja (Hii ni mbovu). Yeyote mwenye uhitaji ani-PM, karibu
Ninapatikana DSM, bei ni:Upo wapi, na bei gani hizo simu?
Haya s3 hiyoo... Haionyeshi kitu black screen. Bt inawaka.. 50,000 cash.. Kutengeneze kioo
Siamin kama mmeshindwa kuniuzia cm ya 350 haya ngoja nikanunue viwalo maana jamii forum imeshindwa kuniuzia s4 kwa hela iyo
Umeshindwa kutengeneza ndugu?
Hata Mimi yangu ina tatizo hilo...... Nmeulizia nmeambiwa tecno wanalifahamu tatizo hilo......
Ni tatizo la display sio software...... Nenda duka ulilonunulia wakuelekeze service point yao wakakubadilishie bure...