njoo tubadilishane na Nokia2 haina tatzo lolote mzee babaNina Samsung S8+, imetumika kwa miezi 8 sasa.
Ninahitaji kubadilisha na simu nyingine, na ninayebadilishana naye aniongeze 120,000 au kutegemea na simu atakayokuwa nayo tutaongea.
NB: Simu iwe decent na iwe ni inayokubali 4G.
Nakupa 70kSamsung Grand prime plus
Double line 4g
1.5gb ram 8gb internal
Price 110k (negotiable)View attachment 1527733View attachment 1527735View attachment 1527743
Ina GB ngap InternalOnline unaipata 700k, mpaka ifike bongo yaweza gonga 800k, Ukiifuata dukani(ni maduka machache wanauza M-series sababu hii ililenga online market) watagonga si chini ya 900k.
Ni bonge ya simu aisee, juzi niliangalia wakati wanaizinduaa...
Ni kwikwi
Hizi zinashuka bei lini tununueIPHONE XS MAX [emoji336]
256GB, BLACK [emoji1665]
SEALED [emoji108]
FULL BOX [emoji320]
TSH 1,800,000/=
1 YEAR WARRANTY [emoji1666]
0714 981607 [emoji3513]
0758 294766 [emoji338]
RELAX; FREE DELIVERY WITHIN DAR ES SALAAM [emoji1631]View attachment 1534082View attachment 1534083
128GBIna GB ngap Internal
Kali sana huu mzigo ..ipo moja 1.2M nichekiWazee nahitaji sanaaa..
Latest Samsung M31s,
hii simu imeingia sokoni mwezi huu,
inauzwa Amazon na baadhi ya Samsung stores, ila sio hapa bongo.
Kwa wauzaji wa humu yoyote atakeyeishika SEALED anijuze.
Iwe 8/128GBView attachment 1534120
Nina 6s plain ongezea ifike 300 nikupe bila hata exchange iko clean kabisanatafuta iphone 6+ ofa yangu ni 250,000/= pamoja na Nokia 2 exchange
Duka lipo wpContact me +255692119300
View attachment 1559150View attachment 1559153View attachment 1559151View attachment 1559154
How does this work?Je Unataka kununua Simu lakini hauna Cash?
Lipa kidogokidogo huku ukiendelea kutumia simu yako.
Anza kulipa kiasi chochote ukabidhiwe simu yako na kiasi kilichobakia utalipia ndani ya miezi 6.
tecno k7 iko vyema sana, 120,000/=
Check me on 0769069812