Abuu95Kiago
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 336
- 129
Hamna mtu anayeuza iphone 7 plus humu used
Kuna 100k mfuko wa shatiTecno spark 4 inauzwa
Contact:0683352362
Location:Bakhresa Tazara
Bei:160,000/=View attachment 1601689
100 ipoTecno spark 4 inauzwa
Contact:0683352362
Location:Bakhresa Tazara
Bei:160,000/=View attachment 1601689
Hizo znakaa na chajNaomba kujua ubora WA Huawei y6s
Kwa wanaotumia
Ahsate mkuu pia nliona n kimbambaHizo znakaa na chaj
Yah sifa yake kuu ni kukaa na chaj,Ahsate mkuu pia nliona n kimbamba
Ahsate mkuu naona ntaitafta hiiYah sifa yake kuu ni kukaa na chaj,
Japo mm siitumii.
Kuna shem wangu aliagiza kutoka china,
Ilipofika nilikaa nayo kama siku nzima, nliitumia hyo nikashangaa uwezo wake wa kukaa na moto.
Iko poa sanaAhsate mkuu naona ntaitafta hii
Nafkri hata camera Huawei
Hawajawah kukosea
Hicho n chuma cha mjerumanIko poa sana
Sema mm natumia LG v40
Hii made in KoreaHicho n chuma cha mjeruman
Aiseeee
Na Hua n poah Sana LG naoHii made in Korea
Yap,Na Hua n poah Sana LG nao
Hawanaga ttzo kabsa
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hyo ndo machine aiseeYap,
Inapiga mzigo fresh
Storage 128 GB
RAM 6 GB
Single line
Nahitaji kioo cha ipad air 2 model 1567 ata used sawa 0757560345 ata. Used frsh