Wauza smartphone tukutane hapa

HUAWEI P20 PRO [emoji336]
128GB|6GB [emoji3541]
CLEAN AS NEW [emoji91]
FULL BOX [emoji320]
USED ABROAD [emoji636]
TWILIGHT
TSH 750,000/=
6 MONTHS WARRANTY [emoji1666]
0714 981607 [emoji3513]
0758 294766 [emoji338]
RELAX; FREE DELIVERY WITHIN DAR ES SALAAM [emoji1631]View attachment 1601431View attachment 1601432
 
NAHITAJI SIMU YA 150K PESA IKO MFUKO WA SHATI. ISIWE TECNO, INFINIX AU ITEL.

Nitumie picha +254 703 893 506.
 
Nahitaji kioo cha ipad air 2 model 1567 ata used sawa 0757560345 ata. Used frsh
 
Naomba kujua ubora WA Huawei y6s
Kwa wanaotumia
 
Ahsate mkuu pia nliona n kimbamba
Yah sifa yake kuu ni kukaa na chaj,
Japo mm siitumii.

Kuna shem wangu aliagiza kutoka china,
Ilipofika nilikaa nayo kama siku nzima, nliitumia hyo nikashangaa uwezo wake wa kukaa na moto.
 
Yah sifa yake kuu ni kukaa na chaj,
Japo mm siitumii.

Kuna shem wangu aliagiza kutoka china,
Ilipofika nilikaa nayo kama siku nzima, nliitumia hyo nikashangaa uwezo wake wa kukaa na moto.
Ahsate mkuu naona ntaitafta hii
Nafkri hata camera Huawei
Hawajawah kukosea
 
Naomba kuulizia kwa watumiaji wa simu za xiaomi redmi ., je zipoje na o.s ni nzuri au ? Pamoja na battery kukaa na chaji , vp znakaa hata siku nzima .?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…