Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
ww uko kenya?Kwa soko la Kenya inacheza na 13k ksh
Acha kabisa ni sim nzur sana hutojutia kutumia hizo simu... Kuanzia camera, betri ni nzur sana... Kwenye Xiaomi hakuna kustack[emoji23]Naomba kuulizia kwa watumiaji wa simu za xiaomi redmi ., je zipoje na o.s ni nzuri au ? Pamoja na battery kukaa na chaji , vp znakaa hata siku nzima .?
IpoWakuu mnaoishi au kupita huko mjini hivi simu za Xiaomi na Motorola zipo? Nataka simu ya 350k ila nmekosa option.
Sony ipi mkuuNatafuta sony xperia nna 350K
Ukiikosa hiyo njoo pm ninayo pro yakeoi...bado ipo
Njoo nikupe redmi 7NINA TZS 250,000/; NATAKA SIMU YENYE KAMERA NZURI, 4G NA BETRI ISIPUNGUE 4000 MAH
Mkuu hii storage ngapi?
128GB mkuuMkuu hii storage ngapi?
Snapdragon or Exynos?SAMSUNG S10e [emoji336]
128GB|6GB [emoji3541]
CLEAN AS NEW [emoji817]
USED ABROAD [emoji1221]
TSH 730,000/=[emoji375]
6 MONTHS WARRANTY [emoji1666]
0714 981607 [emoji3513]
0758 294766 [emoji338]
RELAX; FREE DELIVERY WITHIN DAR ES SALAAM [emoji1631]View attachment 1610017View attachment 1610018
Ubaya wa LG ni software updates ila hardware wapo vizuri sana kwenye V series na G series piaHicho n chuma cha mjeruman
Aiseeee