Wauza smartphone tukutane hapa

Kama ni mpenzi wa bidhaa bora za samsung fanya hivi,andaa 500k nikuachie kitu galaxy tab4. 8 inatumia 5.0.2 android lolipop 16GB,1.5GB RAM,imetumika 2months only!!!Au ni pm kwa maelezo zaidi!
Mkuu Nina 400k kama inawezekana
 
Nauza iPhone 4 used, 16 Gb, open iCloud and Unlocked IMEI. A few scuffs on the front screen, no accessories. Bei Tsh 250,000/-
Interested buyers send a PM.
 
S4 16gb white safii For sale!
ipo Arusha, bei 380000..
 
nahitaji LG flex mpya ninaomba mwenye hiyo anibip
 
Tecno c8 imetumika 1month yan ni mpyaaaaaaaaaaaaaaaaaa inataka 230k 0657445777
 
Nahitaj samsung galaxy s2 mpya or used in mint condition
 
Nahitaji smartphone ya kukunjua (flip android phone) matata weka picha ake na bei kwa yeyote mwenye nayo
 
Last edited:
Nina iPhone4s black...iko vizuri sana ...imetoka US
Nichek tufanye biashara 0674329928
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…