Wauzaji na masonara

Wauzaji na masonara

Four

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2021
Posts
244
Reaction score
176
Kama ilivyo maada wakuu wapi naweza kupata wauzaji wa
(Amethyst stone) au sonara anayetengeneza pete za mawe tajwa hapo juu

R483GRT 2.2 x 7.4 01.jpg


Screenshot_20210719-180021.png
 
Nata
mambo mazito hayo mcheki kiduku lilo, hivi kwa bajeti gani ya chini zaidi naweza kuoata pete kama hiyo au nzuri ya kawaida
Natafuta nzuri zaidi,isiyo na mchanganyiko na mawe mengine.vp kwa dar siwezi pata
 
Kua makini usitapeliwe wala usitapeli.
Nenda posta mtaa wa kitumbin uliza kwa masonara utakut ivo vitu
 
Meona clip mdada amemaliza weka udongo kwenye kaburi la mumewe, kisha akavua pete na kudondoshamo kaburini. Mejiuliza kwamba kwa kufanya ivo ndo anajinasua na mawazo/ndoa ama kutangaza jimbo huru ama
 
Meona clip mdada amemaliza weka udongo kwenye kaburi la mumewe, kisha akavua pete na kudondoshamo kaburini. Mejiuliza kwamba kwa kufanya ivo ndo anajinasua na mawazo/ndoa ama kutangaza jimbo huru ama
Anajinasua na msongo wa mawazo;lakin mkuu hii comment yako inahusiana nini na maada yangu
 
Anajinasua na msongo wa mawazo;lakin mkuu hii comment yako inahusiana nini na maada yangu
"Ukiona unasoma kitabu na haukiekewi tambua wewe sio mlengwa"

Comment inaeleza kuwa pete ni pambo tu halina uhalisia wa muunganiko wa pingu ya ndoa kama wanavyoiita wengi kuwa ndoa ni pingu za maisha.

Bali pingu au uwajibikaji wa kuthamini, kulinda na kutetea ndoa umo ndani ya mioyo au tuiite nguvu ya sirini isiyohitaji kuonwa na kila mtu!
 
"Ukiona unasoma kitabu na haukiekewi tambua wewe sio mlengwa"

Comment inaeleza kuwa pete ni pambo tu halina uhalisia wa muunganiko wa pingu ya ndoa kama wanavyoiita wengi kuwa ndoa ni pingu za maisha.

Bali pingu au uwajibikaji wa kuthamini, kulinda na kutetea ndoa umo ndani ya mioyo au tuiite nguvu ya sirini isiyohitaji kuonwa na kila mtu!
Elimu niliyopata, wewe hukuwahi kuipata so acha kila mmoja afanye anachojua
 
Ivi umeelewa maada inasemaje?hizo ngonjera me siwezi.....
Nashukuru umekiri hauziwezi. Case closed. Tuwape nafasi wengine.

Mimi nimechangia kufafanua hoja ya aliyesimulua tukio la mdada kuvua pete msibani. Ukifuata mtiririko wa maelezo ya msimuluaji utaona hakika dada alidhamiria 'kulivua pendo la mwendazake-mume' kuwa ndio mwisho wa pendo/ndoa. Na ile iliyovuliwa ilikuwa PETE yenye ishara ya uwepo nafsi ya mtu muhimu moyoni. Na mada yako inahusu pete. Hivyo mtia comment alitumua kinaya/kejeli kuwatahadharisha hadhira kuwa pete, hususani za nyakati hizi ni just pambo au mvuto au iwakilishe 'imani' fulani ila isihesabiwe uthabiti wa kiapo cha ndoa hasa kile kipengele "......hadi umauti"

Umeelewa sasa?
 
Nashukuru umekiri hauziwezi. Case closed. Tuwape nafasi wengine.

Mimi nimechangia kufafanua hoja ya aliyesimulua tukio la mdada kuvua pete msibani. Ukifuata mtiririko wa maelezo ya msimuluaji utaona hakika dada alidhamiria 'kulivua pendo la mwendazake-mume' kuwa ndio mwisho wa pendo/ndoa. Na ile iliyovuliwa ilikuwa PETE yenye ishara ya uwepo nafsi ya mtu muhimu moyoni. Na mada yako inahusu pete. Hivyo mtia comment alitumua kinaya/kejeli kuwatahadharisha hadhira kuwa pete, hususani za nyakati hizi ni just pambo au mvuto au iwakilishe 'imani' fulani ila isihesabiwe uthabiti wa kiapo cha ndoa hasa kile kipengele "......hadi umauti"

Umeelewa sasa?
Masikini muda wote anawaza ngono tu🤣🤣🤣
 
Anajinasua na msongo wa mawazo;lakin mkuu hii comment yako inahusiana nini na maada yangu
Hhaaaaa mewaza huenda pete alotupa kaburini ndo aina ya pete ulokuwa unahitaji, changamoto mtupaji hakujua kuwa kuna wahitaji kama wewe
 
Hhaaaaa mewaza huenda pete alotupa kaburini ndo aina ya pete ulokuwa unahitaji, changamoto mtupaji hakujua kuwa kuna wahitaji kama wewe
Atakuwa bahati imempita kado!😂😂
 
Meona clip mdada amemaliza weka udongo kwenye kaburi la mumewe, kisha akavua pete na kudondoshamo kaburini. Mejiuliza kwamba kwa kufanya ivo ndo anajinasua na mawazo/ndoa ama kutangaza jimbo huru ama
Jambo liko wazi hapo

Ova
 
Back
Top Bottom