malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar naomba kuuliza wauzajazi wa magar amabo wanauza gari ambazo hazipata ajali wa mbovu kwa dar,mwanza au mkoa wowote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha wauzaji wa magari wenye yard au wasio na yard waaminifu hawana gari mbovu mbovuHii mada sijaelewa kabisaa
Namaanisha wauza magar wasio na najanja janja wanauza magari ambayo Yako poa Sio mabovu mabovuNyoosha maelezo mbona elimu ni bure na ww hujui kuandika dah una hali mbaya
Sbt japan be fowardNamaanisha wauza magar wasio na najanja janja wanauza magari ambayo Yako poa Sio mabovu mabovu
Huyu jamaa haweki Bei kwaninnjari motors
Bei anawekaga mbona labda kama hivi karibuni kaachaHuyu jamaa haweki Bei kwanin
Haweki Bei mpaka uende whatsap uko nimemfuata namuuliza alphad shingap Bei alionipa duu. 25mBei anawekaga mbona labda kama hivi karibuni kaacha
Basi atakuwa kaacha kuweka bei. Bei zake zimenyooka kama gari zake zilivyonyookaHaweki Bei mpaka uende whatsap uko nimemfuata namuuliza alphad shingap Bei alionipa duu. 25m
Karibu mkuu unataka gari gani sisiHabar naomba kuuliza wauzajazi wa magar amabo wanauza gari ambazo hazipata ajali wa mbovu kwa dar,mwanza au mkoa wowote