Wauzaji wa mahindi hatujalipwa pesa zetu tangu mwezi wa 8. Serikali isikie kilio chetu

Wauzaji wa mahindi hatujalipwa pesa zetu tangu mwezi wa 8. Serikali isikie kilio chetu

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Serikali pamoja na vitengo vyenu vinavyonunuwa mahindi mnatutia hasira wakulima, hebu fikiria toka tumepeleka mahindi mwezi wa 8 hadi sasa hatujapata malipo yetu.

Hiki kilio si mimi ninayeandika ndiyo naumia peke yangu na kurudishwa nyuma malengo yangu bali wapo wengi nyuma yangu zaidi ya 50 kwenye maeneo ninayoishi.

Nahitimisha kwa kusema mtulipe fedha zetu sitaki kutumia neno naomba mtulipe kwani ni haki yetu na matokeo ya nguvu zetu.

Katika sisi tunaodai hakuna mkulima anayetumia trekta ni jembe la mkono tunachoka kweli.
Barua.jpg

Ufafanuzi wa Serikali soma hapa: Serikali yatoa ufafanua kuhusu madai ya Wauza mahindi kudai kucheleweshewa malipo ya Mahindi
 
Serikali pamoja na vitengo vyenu vinavyonunuwa mahindi mnatutia hasira wakulima,hebu fikir toka tumepeleka mahindi mwezi wa8 hadi sasa hatujapata malipo yetu.Hiki kilio si mimi ninayeandika ndiyo naumia peke yangu na kurudishwa nyuma malengo yangu bali wapo wengi nyuma yangu zaidi ya50kwenye maeneo ninayoishi.Nahitimisha kwa kusema mtulipe fedha zetu sitaki kutumia neno naomba mtulipe kwani ni haki yetu na matokeo ya nguvu zetu.ktk sisi tunaodai hakuna mkulima anayetumia trekta ni jembe la mkono tunachoka kweli.
Kazi Iendelee[emoji1787]
 
Serikali pamoja na vitengo vyenu vinavyonunuwa mahindi mnatutia hasira wakulima,hebu fikir toka tumepeleka mahindi mwezi wa8 hadi sasa hatujapata malipo yetu.Hiki kilio si mimi ninayeandika ndiyo naumia peke yangu na kurudishwa nyuma malengo yangu bali wapo wengi nyuma yangu zaidi ya50kwenye maeneo ninayoishi.Nahitimisha kwa kusema mtulipe fedha zetu sitaki kutumia neno naomba mtulipe kwani ni haki yetu na matokeo ya nguvu zetu.ktk sisi tunaodai hakuna mkulima anayetumia trekta ni jembe la mkono tunachoka kweli.
Koroshow movement.........!!
 
Serikali pamoja na vitengo vyenu vinavyonunuwa mahindi mnatutia hasira wakulima,hebu fikir toka tumepeleka mahindi mwezi wa8 hadi sasa hatujapata malipo yetu.Hiki kilio si mimi ninayeandika ndiyo naumia peke yangu na kurudishwa nyuma malengo yangu bali wapo wengi nyuma yangu zaidi ya50kwenye maeneo ninayoishi.Nahitimisha kwa kusema mtulipe fedha zetu sitaki kutumia neno naomba mtulipe kwani ni haki yetu na matokeo ya nguvu zetu.ktk sisi tunaodai hakuna mkulima anayetumia trekta ni jembe la mkono tunachoka kweli.
Bado hujasema , na utasema tuu
 
Yani ulime cash alafu uwape watu mazao bila kujua utapata lini pesa
Kwani wanunuzi wa cash hamna
Au nini kinaendelea huko mashambani
Jitahidini kujitambua
Yani wanasiasa wanatengeneza namna ya kuwaibia na nyie mnaingia mikenge kizembe
Hapo mlipo mkilipwa hata nusu mnashukuru
 
Yani Hawa.
Yani ulime cash alafu uwape watu mazao bila kujua utapata lini pesa
Kwani wanunuzi wa cash hamna
Au nini kinaendelea huko mashambani
Jitahidini kujitambua
Yani wanasiasa wanatengeneza namna ya kuwaibia na nyie mnaingia mikenge kizembe
Hapo mlipo mkilipwa hata nusu mnashukuru
Yani Hawa dawa yao unamalizia kumchemka hawajali shida zetu wavuja jasho kisa wao wanatembelea mavi8
 
Back
Top Bottom