INAUZWA Wauzaji wa Matrekta

Trekta Bora

Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
9
Reaction score
10
Tunauza trekta aina ya Lovol,
Lovol 754-75HP 4WD bei ni 53,000,000/= Tsh
Lovol 504-50HP 4WD bei ni 39,000,000/= Tsh

Trekta zetu ni imara, zenye nguvu na utumiaji wa mafuta mdogo.
Mfano; HP 75 4WD inatumia wastani wa lita 5 kwa heka moja.
Mfano 2; HP 50 4WD inatumia wastani wa lita 3 kwa heka moja.

Tunazua kwa cash na mkopo kupitia bank na taasisi za kifedha mbalimbali zikiwamo : CRDB, NMB, EFTA na PASS
Karibuni sana, tunafanya kazi Tanzania nzima.

Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0717217520

 
Hizo bei ni pamoja na VAT au Exclusive?
 
Vp zinakua na rotta,jembe,halo disk je
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…