Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wadau naomba zilipo YARD za TIPPER TRUCK HOWO,FAW NA SCANIA MENDE au YARD au ofisi zao kwa Dar
Kutokea Tazara kwenda uwanja wa ndege wamejaa wao tu hata TATA wapo huko
Km unaelekea Airport ukitokea Buguruni kwenye flyover ya Mfugale unapita Tazara unaaambaa mpaka hapo panaitwa kalakana angalia upande wako wa kulia kabla hujafika Vingunguti usifike njiapanda ya Jetrumo wewe angalia kulia kuna ofisi ipo bonge la Jengo zipo hapo za kumwaga tu ni wewe na Pesa yako na ukitaka TATA zipo upande huo huo wa kuliaHabari wadau naomba zilipo yard za tipper truck howo,faw na scania mende au yard au ofisi zao kwa dar
Thanks
Unatak used au mpya? Njoo inbox au nitumie namba yako nikutafuteHabari wadau naomba zilipo yard za tipper truck howo,faw na scania mende au yard au ofisi zao kwa dar
Thanks