Bila shaka mu wazima wakuu,
Kama kichwa cha somo cha jieleza naomba wauzaji wa vyombo vya muziki(music instruments) walioko zanzibar hasa key boards na booster tuonane hapa tafadhali.
Nakaribisha wengine wenye uzoefu na ununuzi wa vyombo hivi hasa Zanzibar.
Asanteni