Kama kusoma thread tu ni kazi je ukipewa kazi ufanye utaweza kweli?Mi nina arrange na thread ndefu especially mambo ya siasa nasubiri tu maoni ya wasomaji.
Kama na wewe upo kama Mimi karibu tusaidiane namna ya kutibu huu ugonjwa
Una arrange na thread ndefu?Mi nina arrange na thread ndefu especially mambo ya siasa nasubiri tu maoni ya wasomaji.
Kama na wewe upo kama Mimi karibu tusaidiane namna ya kutibu huu ugonjwa
arrange