Wavuliwa Medali kwa kumuachia Mchina ashinde riadha

Wavuliwa Medali kwa kumuachia Mchina ashinde riadha

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Mshindi wa kwanza hadi wa nne wa Beijing Half Marathon wamepokonywa medali zao baada ya uchunguzi kuthibitisha kuwa wakimbiaji watatu toka Afrika walikula njama na kumwacha raia wa China, He Jie awe mshindi wa kwanza.

Katika video wanaonekana wakimbiaji hao kutoka Kenya na Ethiopia wakimpisha na kumhimiza Jie apite, jambo lililoibua mjadala na kupelekea uchunguzi kufanyika.
 
Mshindi wa kwanza hadi wa nne wa Beijing Half Marathon wamepokonywa medali zao baada ya uchunguzi kuthibitisha kuwa wakimbiaji watatu toka Afrika walikula njama na kumwacha raia wa China, He Jie awe mshindi wa kwanza.

Katika video wanaonekana wakimbiaji hao kutoka Kenya na Ethiopia wakimpisha na kumhimiza Jie apite, jambo lililoibua mjadala na kupelekea uchunguzi kufanyika.
Mashindano yalirudiwa?
 
Mshindi wa kwanza hadi wa nne wa Beijing Half Marathon wamepokonywa medali zao baada ya uchunguzi kuthibitisha kuwa wakimbiaji watatu toka Afrika walikula njama na kumwacha raia wa China, He Jie awe mshindi wa kwanza.

Katika video wanaonekana wakimbiaji hao kutoka Kenya na Ethiopia wakimpisha na kumhimiza Jie apite, jambo lililoibua mjadala na kupelekea uchunguzi kufanyika.
Nchi nyingi za Africa zinadaiwa na China. Huwenda ni Technique ya kupunguza madeni 😂
 
Mshindi wa kwanza hadi wa nne wa Beijing Half Marathon wamepokonywa medali zao baada ya uchunguzi kuthibitisha kuwa wakimbiaji watatu toka Afrika walikula njama na kumwacha raia wa China, He Jie awe mshindi wa kwanza.

Katika video wanaonekana wakimbiaji hao kutoka Kenya na Ethiopia wakimpisha na kumhimiza Jie apite, jambo lililoibua mjadala na kupelekea uchunguzi kufanyika.
Hizi njaa hizi, hapo waliaidiwa pesa ndefu, na huyu mmoja, bila kujua anaweza kuonekana kwenye camera, anamsisitiza mchina,aje upande huu, anampisha kabisa
 
Wameuza mchezo kizembe sana code ziko uchi kabisa
 
Back
Top Bottom