NecZec
Member
- Jan 23, 2019
- 45
- 65
Njia nyepesi ya kuiondoa CCM madarakani ni kuwashawishi watanzania kuanza kuvuta bangi kwa wingi😀😀😀wavuta bangi wakifikia robo ya wanywa pombe hakika CCM kwaheri😀😀😀Chadema wekezeni kwenye bangi maana hakuna asiyejua shughuli ya mvuta bangi😀😀.
Bangi njoo tuige CCM
Bangi njoo tuige CCM